Umeuliza maswali ya msingi. Lakini, just for a moment (and hypothetically speaking), hebu jaribu kujiweka kwenye nafasi ya Rais wa Jamhuri. Jee, wewe binafsi ungechukua hatua gani kuondoa tatizo hili kwenye mfumo mbovu uliyojaa rushwa na madudu kibao kwenye vyombo vyote kuanzia serikali, state, law enforcemenent na mfumo wa mahakama? Jee, inawezekana kwamba mtu mmoja angeweza kusafisha mapungufu na mabaya yote kwenye mfumo potofu, uliokithiri na ambao yeye mwenyewe anautegemea kudhihirisha dhana nzima ya madaraka yake bila ya mapinduzi ya kweli?