Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Hao wanaoitwa wasomi na Tanzania Daima walitaka raisi amteue nani badala ya Zhakia? Maana uteuzi unaendana na kumwamini huyo unayemteua na ikumbukwe Zhakia alikuwe kwenye "Fundraising Team" kwa ajili ya kampeni za Mh. JK
Uwezo ndungu....nasisitiza ni UWEZO wa mtu na sio kuaminiana hii ni public position sio personal