Kikwete kutana na Slaa kwa mawazo ya baraza la mawaziri

Status
Not open for further replies.

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,594
8,735
Tanzania sasa hivi siyo nchi inayohitaji siasa sana bali mawazo ya kuendeleza nchi. Imefikia wakati wa Kikwete kukaa kikao cha chai na Slaa na kuchukua mawazo ni vitu gani vya kufanya kupeleka nchi mbele. Tatizo la kuchukua mawazo ya CCM pekee ni kwamba wengi wao wanatoa mawazo kwa manufaa yao binafsi ya kikazi na hivyo mawazo yao mangi si ya ndani au ya uwazi. Huu ni wakati wa kuchukua mawazo kwa watu wanaofikiria tofauti na kwa manufaa ya nchi na sio CCM. Kuna tatizo kubwa la utendaji shule za watoto hazifanyi vizuri, Madaktari wanakimbia nchi kila siku, reli imechakaa, umeme bado mgao mpaka leo, bei ya mafuta juu, bei ya kuingiza vifaa vya biashara juu hivyo tatizo ni kubwa na kwa sasa unahitaji nchi nzima kufanikiwa
 
Huyu huyu Slaa ndiye kakutuma au ndiyo mambo ya kijiweni hapa jf. ''simtambui Kikwete kama Rais" Slaa. Kwanzanhana jipya hata moja.Kichwani kuna visasi tu. Potezea huko
 
Kwani kibabu kaacha nongwa ? Anamtambua rais?

Bora ungesema Lipumba professa uchumi
Lipumba ameshauri aunde serikali ya umoja wa kitaifa watu kama rashid hamad anafaa kuwa waziri ma waziri wa fedha awe lipumba waziri wa majeshi Mnyaa na mambo ya ndani Mbatia .zito naye anafaa kupewa wizara.! It look funny enhe
 
Dr.Slaa atashauriana nini na rais Kikwete wakati alishasema watahakikisha nchi haitawaliki.
 
Tatizo la Slaa ni kwamba anaweza kumshauri JK aihalalishe gongo.
 
Kwa CCM Slaa ni kama balozi wa nyumba kumi tu....

haha ..na ushindi wa CCM ni balozi wa nyumba kumi kumi.Wewe sijui nikuitaje...sijui jina la mtoto anayecheza na nyeti, anayelamba mavi, na kulamba miguu yake, sijui tutamuitaje......zaidi ya utundu,utukutu sijui kuna neno gani.Ningekupa la kiluga ila nakofu wanaweza shindwa tamka liwe matusi.
 
Huyu huyu Slaa ndiye kakutuma au ndiyo mambo ya kijiweni hapa jf. ''simtambui Kikwete kama Rais" Slaa. Kwanzanhana jipya hata moja.Kichwani kuna visasi tu. Potezea huko

mkuu kwa sasa analo moja la kutengeneza gongo basi.
 
Amshauri kwa experienc aliyonayo labda?
Achen utoto nyie ye mwenyew hawez sema kitu kwa Mshunbuz na Mbowe afu leo ndo amshaur chaguo la Mung Jk wa piliu!!!!!!tuuuup
 
...tatizo ninaloliona ni upeo wa mawazo ni tofauti sana...
 
Tanzania sasa hivi siyo nchi inayohitaji siasa sana bali mawazo ya kuendeleza nchi. Imefikia wakati wa Kikwete kukaa kikao cha chai na Slaa na kuchukua mawazo ni vitu gani vya kufanya kupeleka nchi mbele. Tatizo la kuchukua mawazo ya CCM pekee ni kwamba wengi wao wanatoa mawazo kwa manufaa yao binafsi ya kikazi na hivyo mawazo yao mangi si ya ndani au ya uwazi. Huu ni wakati wa kuchukua mawazo kwa watu wanaofikiria tofauti na kwa manufaa ya nchi na sio CCM. Kuna tatizo kubwa la utendaji shule za watoto hazifanyi vizuri, Madaktari wanakimbia nchi kila siku, reli imechakaa, umeme bado mgao mpaka leo, bei ya mafuta juu, bei ya kuingiza vifaa vya biashara juu hivyo tatizo ni kubwa na kwa sasa unahitaji nchi nzima kufanikiwa

umepagawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom