Kikwete kutana na Slaa kwa mawazo ya baraza la mawaziri

Status
Not open for further replies.
Amakweli unachekesha yaani mtu makini kama jk apewe ushauri na slaa mwenye siasa za chuki na zilizojaa uhasama! Slaa ndio anastahili kupewa ushauri zaidi maana chama chake kinazidi kuangamia. Jk hawezi pokea ushauri kwake kwanza hana jipya na kwanza aliisha mdharau siku nyingi kwa kitendo chake cha kutomkubali kama raisi wa nchi.
 
Tatizo la Watanzania ni unafiki tunapinga tu bila kuwa na sababu kama unafikiria tofauti sema kimsingi!. Kama unafikiria Kikwete akipata ushauri kwa watu walewale waliomshauri mara ya kwanza na kutegemea mafainikio tufauti wakati huu ni kama ndoto. Hakuna biashara, familia, au mtu yeyote ambaye kafanikiwa hivyo.
 
sidhani kama kuna haja ya JK kukutana na Slaa... Slaa anashindwa kumanage issue ndogo sana ya Zitto, hawezi kusimama kidete kwenye issues kubwa zaidi za kuongoza siasa na serikali, serikali is more difficult to run than chama cha siasa, ndio maana kingunge aliweza kuwa chamani lakini alikua anambwelambwela tu kwenye utendaji serikalini

we have to be serious with issues
 
Tanzania sasa hivi siyo nchi inayohitaji siasa sana bali mawazo ya kuendeleza nchi. Imefikia wakati wa Kikwete kukaa kikao cha chai na Slaa na kuchukua mawazo ni vitu gani vya kufanya kupeleka nchi mbele. Tatizo la kuchukua mawazo ya CCM pekee ni kwamba wengi wao wanatoa mawazo kwa manufaa yao binafsi ya kikazi na hivyo mawazo yao mangi si ya ndani au ya uwazi. Huu ni wakati wa kuchukua mawazo kwa watu wanaofikiria tofauti na kwa manufaa ya nchi na sio CCM. Kuna tatizo kubwa la utendaji shule za watoto hazifanyi vizuri, Madaktari wanakimbia nchi kila siku, reli imechakaa, umeme bado mgao mpaka leo, bei ya mafuta juu, bei ya kuingiza vifaa vya biashara juu hivyo tatizo ni kubwa na kwa sasa unahitaji nchi nzima kufanikiwa

Hili liwazo sikuwahi kufikiri linaweza toka kwa mtanzania mwenye uwezo wa ku access internet na kuandika kama wewe. Lakini kwa jinsi Bavicha ilivyoharibu akili za vijana watanzania sishangai kwa sasa.
 
Hakuna mtu anadharaulika mbele ya wasomi na hasa rais wetu kama muuza/mnywa gongo Slaa.
 
Nani anaomba kukutana kwaajili ya ushauri kama ni rais sio sahihi ina maana rundo lote la washauri wake linafanya kazi gani basi avunje serikali aitishe uchaguzi kwa slaa hana sababu ya kumpa mpinzani wake mbinu za uongozi hata Chadema wanahitaji kuongoza sio kuombwa ushauri wacha wafu wazikane wenyewe..
 
Chadema wemeweza kufanya nini kwa vitendo????????kukusoa hakuna gharama yoyote
##Chadema inafanya Biashara Siasa##
 
Tanzania sasa hivi siyo nchi inayohitaji siasa sana bali mawazo ya kuendeleza nchi. Imefikia wakati wa Kikwete kukaa kikao cha chai na Slaa na kuchukua mawazo ni vitu gani vya kufanya kupeleka nchi mbele. Tatizo la kuchukua mawazo ya CCM pekee ni kwamba wengi wao wanatoa mawazo kwa manufaa yao binafsi ya kikazi na hivyo mawazo yao mangi si ya ndani au ya uwazi. Huu ni wakati wa kuchukua mawazo kwa watu wanaofikiria tofauti na kwa manufaa ya nchi na sio CCM. Kuna tatizo kubwa la utendaji shule za watoto hazifanyi vizuri, Madaktari wanakimbia nchi kila siku, reli imechakaa, umeme bado mgao mpaka leo, bei ya mafuta juu, bei ya kuingiza vifaa vya biashara juu hivyo tatizo ni kubwa na kwa sasa unahitaji nchi nzima kufanikiwa
Hivi wewe katika watu wote wa kumshauri rais umemwona slaa ambaye migogoro cdm inamshinda!,hana la kumshari Kiwete sababu gongo sio kauli mbiu ya CCM.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom