Kikwete kushuhudia nyayo za binadamu wa kale!

Jackbauer

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
6,038
2,199
Rais kikwete anatarajiwa kuhudhuria eneo la laitori-ngorongoro ambapo atashuhudia nyayo za binadamu wa kale zilizofukuliwa hivi karibuni.nyayo hizi zinakadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka milioni 3+
kumetokea ubishi kati ya wanasayansi wengine wakipinga kufukuliwa kwa nyayo hizo kwa hofu ya kuharibika huku wengine wakitaka zifukuliwe kwani ni sehemu muhimu ya utalii.

Source:ITV
 
Hana akili wala huruma huyu Mkwere. Anashobokea nyayo za binadamu wa kale badala ya kuangalia jinsi ya kutupunguzia makali ya maisha. Leo huku kwetu Sukari kilo 2,000 tshs na Unga wa ngano 1,500Tshs.... Tena tuko jijini... Je huko vijijini hali ikoje?? Jamani mkwere tuonee huruma watanzania tunakufa na hali ngumu tusijetukapata tamaa ya kukutoa kama iliyowapata wananchi wa misri
 
Back
Top Bottom