Elections 2010 Kikwete kufanya mdahalo Ijumaa, aweza kutangaza hali ya hatari Jumapili?

Makuwadi wa chadema wanapoandaa mazingira ya vurugu.
Huwezi kupata urais kwa hila za makanisa, NGOs, Media na wanafunzi wa vyuo vikuu. Shame on You!
Endeleeni kutapatapa kwa na kujipa moyo kwa ushindi mtandaoni.
Padri Slaa anaweza kuwa rais wa JF lakini si rais wa nchi.


Mungu mhurumie huyu kwa vile hajui alitendalo!!!
 
Dr anakubalika and especially the way he was responding to questions. Jk cannot, and will never, match the future pres. Slaa.
 
Back
Top Bottom