The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,388
- 12,971
Makuwadi wa chadema wanapoandaa mazingira ya vurugu.
Huwezi kupata urais kwa hila za makanisa, NGOs, Media na wanafunzi wa vyuo vikuu. Shame on You!
Endeleeni kutapatapa kwa na kujipa moyo kwa ushindi mtandaoni.
Padri Slaa anaweza kuwa rais wa JF lakini si rais wa nchi.
Mungu mhurumie huyu kwa vile hajui alitendalo!!!