Naamini watanzania tunaouwezo wa kutatua matatizo ya wakulima na wafugaji.
Kama mfugaji mmoja anapigwa faini ya shirini milion 10 na analipa,kama lowasa anachangisha milion 600 kwa siku,kama tulimchangia rafiki yangu milion 21 ili aoe na harambe nyingi uzijuavyo wewe msomaji.
Inashindikanaje serikali kukaa na wafugaji,wadau nchi nzima kuhakikisha kunakuwa na ummoja wa wafugaji ambao utakuwa na excavator kwa ajili kuchimba mawawa na kuwatengea maeneo ya kudumu
hebu tuache uvivu wa kufikiria watu wamechoka na migogoro tuamue sasa kusaidia wanaweza kutoa,tuweza kuwasaidia na tukahitimisha tatizo hilo tuna watalamu wa mifugo
watuambie ngombe anakunywa lita ngapi ilitujue mabwawa kutokana na takwimu za serikali za mifugo.
Kama mfugaji mmoja anapigwa faini ya shirini milion 10 na analipa,kama lowasa anachangisha milion 600 kwa siku,kama tulimchangia rafiki yangu milion 21 ili aoe na harambe nyingi uzijuavyo wewe msomaji.
Inashindikanaje serikali kukaa na wafugaji,wadau nchi nzima kuhakikisha kunakuwa na ummoja wa wafugaji ambao utakuwa na excavator kwa ajili kuchimba mawawa na kuwatengea maeneo ya kudumu
hebu tuache uvivu wa kufikiria watu wamechoka na migogoro tuamue sasa kusaidia wanaweza kutoa,tuweza kuwasaidia na tukahitimisha tatizo hilo tuna watalamu wa mifugo
watuambie ngombe anakunywa lita ngapi ilitujue mabwawa kutokana na takwimu za serikali za mifugo.