Elections 2010 Kikwete Kubali Yaishe Kama Jerry Rowlings wa Ghana

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Kikwete. Mkapa. Mwinyi and Sons.

Muna haki sawa ya kuitwa Watanzania kama hao munaowaita majuha na makokoto. Kwa hiyo sote sisi na ninyi ni Majuha na Makokoto kwa kuwa sote ni Watanzania.

Sasa basi, Bwana JK sioni nafasi ya wewe kushinda uchaguzi huu.

Mimi ni mtoto wa kijijini. Nimechunga ng'ombe mimi. Nimekula maziwa fresh yasiyochujwa wala kuchemshwa mimi.Nimeishi maisha ya kunyeshewa mvua bila mwavuli nikalowa chakachaka. Nimelima kwa jembe la mkono mimi. Watu wa mikoa ifuatayo wanaishi maisha ya aina hiyo. Safari hii hawana mzaha. Hawaogopi kuitwa kokoto tena. Hawaogopi kiutwa majuha.

Shinyanga, Mwanza, Kagera, Kigoma, Rukwa, Mbeya, Iringa, Manyara, Musoma.

UTASHINDWA VIBAYA KATIKA MIKOA HII.

Mikoa mingine utakayoshindwa vibaya: Kilimanjaro, Arusha.

Jana mlitumia muda wa masaa matatu kuwaita makokoto, lakini kumbuka Mkwere: Wazazi wetu wametumia miaka mitano ya utawala wako kutoa maamuzi ya kukumwaga.

Sorry to say it was too late to change their minds.

Subiri matokeo.

Utashindwa, na tunaomba uiache nchi yetu kwa amani kama alivyofanya Jerrry Rowlings kwa John Kufour.
 
Kweli kabisa akubali tu kwa moyo mkunjufu na ataendelea kuheshimika katika nchi hii. Vinginevyo........................
 
Back
Top Bottom