Elections 2010 kikwete kuapishwa tar 6/11/2010

kitakuwa ni kipindi cha lala salama lakini jamaa atakion cha motto ,kwanza rmafisadi inabidi wakatimuliwe upya na kuna maeneo huyu jk hatatakiwa kwenda akienda huko atapigwa mawe akae akijua hilo kabisa yy anatakiwa aende marekani,tanga au zanzibar au mtwara sijui. na magogoni tu basi.
 
slaa anadai kaibiwa kura ,sawa lakini je katika nchi kama Tanzania au UGANDA Kuna loop holes nyingi za kushinda chama kilicho madarakani.
Hatujakua kidemokrasia kama vile nchi za wenzetu ....unadhani museveni anaweza shindwa uchaguzi wowote?hata kama hapendwi?? kikwete anapendwa sababu watanzania wengi sio watu wa kufanya analysis .Kikwete kama kuiba hajaiba kura nyingi labda mijini ..ila vijijini HAWA WENYE SHIDA ,hawana maji ,umeme ,hawana shule ndio wamempigia kura ....Tatizo ni Elimu !!!shule za kata zaweza kusaidia ...mwache mkwere ale nchi ,yeye,mkewe na watoto .
 
Tatizo ni Elimu !!!Shule za kata zaweza kusaidia ...Mwache mkwere ale nchi....yeye,mkewe na watoto .

Sawa sawa. Nchi atakula ila dhamira itakuwa inamsuta siku zote za maisha yake. How does it feel kujijua wewe ni mwizi na kwamba KILA MTU out there anajua wewe ni jizi la kutupa? shameless, gutless, spineless, brainless, timid....
 
Back
Top Bottom