Elections 2010 Kikwete kuapishwa na kutangaza hali ya hatari

makoye2009

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
2,638
1,218
Hali inaonekana ni tete sana baada ya Uchaguzi kwenye nchi yetu kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru. Kuna tetesi kwamba huenda JK akatangaza hali ya hatari kwa Taifa mara tu atakapoapishwa. Hii ni kutokana na hali zilizojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi.

Kwa vile JK anajua kabisa kuwa ameingia Ikulu kwa KURA ZA WIZI(CHAKACHUA)akisaidiwa na Tume(NEC),Usalama wa Taifa,Wakuu Wilaya na Mikoa pamoja na Wakurugenzi wao atakuwa na kipindi kigumu cha kuiongoza nchi.

Bado kuna malalamiko na manung'uniko kutoka kila pembe ya Nchi hii kuwa Uchaguzi huu haukuwa Huru wala Haki ingawa wengine wanasema ulikuwa Huru bila Haki. Tayari Chadema wameshawasilisha malalamiko yao NEC pamoja na ushahidi na kuna mipango ya kwenda Mahakamani.

JK anajua kabisa madai ya CHADEMA yana ukweli karibu 90% kama siyo 99% na DHAMIRA yake inamsuta kuwa KURA ALIZOPATA SIYO HALALI. Hilo JK analijua. Safari hii ameingia Ikulu kwa mlango wa uani!

Mtakumbuka siku ile alipokuwa kwenye Mdahalo na Vyombo vya habari alipoulizwa swali kuhusu wizi wa kura. Alijitetea sana kuwa kulingana na mfumo uliopo wa upigaji kura kuiba kura ni vigumu sana. Lakini akatoa HINT ya namna KURA ZINAWEZA KUIBIWA. Kwamba ni wakti wa KUJUMLISHA MATOKEO KWENYE COMPUTER NDIPO WATU WANAWEZA KUCHEZA NA FIGURES KWA KUONGEZA AU KUPUNGUZA NA NDICHO KILICHOTOKEA. KWA HIYO KIKWETE ALIKUWA ANAJUA NA NDIYO MAANA ALIKIGUSIA!

Kwa hiyo basi Rais JK ajaye atakuwa ni Rais asiyejiamini tofauti kabisa na mwaka 2005 alipoingia kwa mbwembwe za kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya. Hana tena ujasiri huo!
Hofu ya Kikwete kwa sasa iko kwa CHADEMA NA DR. SLAA. Kwamba DR.SLAA anaonekana ni tishio kwa utawala wake na hakika anamnyima usingizi. Hataweza kutawala kwa amani.

Ni dhahiri kwamba hali ya hatari inawezekana kabisa kulingana na sababu nilizoeleza hapo juu. Kwamba ili KUZIMA VUGUVUGU LA DR.SLAA NA CHADEMA pamoja na wafuasi wao A CURFEW IS INEVITABLE.Vinginevyo JK na CCM atatawala kwa taaabu sana.

Tusubiri tuone nini kinakuja.

Wasaalamu.
 
Akitangaza curfew si ndio itakuwa bora zaidi, maana atadhihirishia ulimwengu jinsi alivyo mwizi, mroho, na katili...
 
Hali wala si TETE ni shwali kabsaaa!!! nchini, na wala hakuna haja ya kutangaza hali ya hatari!!! Isipokuwa mazingira ya hali ya hatari yanajengwa na mazumbukuku wachache wasiokubali kushindwa na kukubali ukweli kuwa Slaa hakuwa size ya JK this time around. Asubiri 2015 ingawa naamini hata Chama chake Hakitamteua kuwania tena.
 
Mtu mzima ovyo! Hivi mnatamani vurugu? Mbna swali lakini umbea mwingi? unadhani vurugu zikitokea kuna mtu anayeweza kuzuia? sitamani vurugu kwani hakuna mshindi. Walioiba kura tunawasamehe tunaamini bila kuiba na kubaki madarakani mkono hautaenda kinywani!

Tunaacha tu lakini tukianzisha varangati haitakuwa rahisi kuonekana mshindi. make ntajifanya niko shambani nalima, ukipita nakunyatia nakuzaba nyundo ya kichwani.

Tusameheane tu hata wenye dola msijigambe kuwa mkitangaza hali ya hatari kuna atakey salimika au kuwa mbabe.

So mind your business, and keep quiet.
 
Hiyo hatari unaiona peke yako......dream on with your fantasy.......unakuwa unaota ndoto za mchana.....nchi ipo shwari na JK kashinda .....asiyekubali kushindwa sio mshindani.....na SIASA haina DROO au MECHI YA MARUDIANO......imetoka.....
 
Hali inaonekana ni tete sana baada ya Uchaguzi kwenye nchi yetu kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru. Kuna tetesi kwamba huenda JK akatangaza hali ya hatari kwa Taifa mara tu atakapoapishwa. Hii ni kutokana na hali zilizojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi.

Kwa vile JK anajua kabisa kuwa ameingia Ikulu kwa KURA ZA WIZI(CHAKACHUA)akisaidiwa na Tume(NEC),Usalama wa Taifa,Wakuu Wilaya na Mikoa pamoja na Wakurugenzi wao atakuwa na kipindi kigumu cha kuiongoza nchi.

Bado kuna malalamiko na manung'uniko kutoka kila pembe ya Nchi hii kuwa Uchaguzi huu haukuwa Huru wala Haki ingawa wengine wanasema ulikuwa Huru bila Haki. Tayari Chadema wameshawasilisha malalamiko yao NEC pamoja na ushahidi na kuna mipango ya kwenda Mahakamani.

JK anajua kabisa madai ya CHADEMA yana ukweli karibu 90% kama siyo 99% na DHAMIRA yake inamsuta kuwa KURA ALIZOPATA SIYO HALALI. Hilo JK analijua. Safari hii ameingia Ikulu kwa mlango wa uani!

Mtakumbuka siku ile alipokuwa kwenye Mdahalo na Vyombo vya habari alipoulizwa swali kuhusu wizi wa kura. Alijitetea sana kuwa kulingana na mfumo uliopo wa upigaji kura kuiba kura ni vigumu sana. Lakini akatoa HINT ya namna KURA ZINAWEZA KUIBIWA. Kwamba ni wakti wa KUJUMLISHA MATOKEO KWENYE COMPUTER NDIPO WATU WANAWEZA KUCHEZA NA FIGURES KWA KUONGEZA AU KUPUNGUZA NA NDICHO KILICHOTOKEA. KWA HIYO KIKWETE ALIKUWA ANAJUA NA NDIYO MAANA ALIKIGUSIA!

Kwa hiyo basi Rais JK ajaye atakuwa ni Rais asiyejiamini tofauti kabisa na mwaka 2005 alipoingia kwa mbwembwe za kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya. Hana tena ujasiri huo!
Hofu ya Kikwete kwa sasa iko kwa CHADEMA NA DR. SLAA. Kwamba DR.SLAA anaonekana ni tishio kwa utawala wake na hakika anamnyima usingizi. Hataweza kutawala kwa amani.

Ni dhahiri kwamba hali ya hatari inawezekana kabisa kulingana na sababu nilizoeleza hapo juu. Kwamba ili KUZIMA VUGUVUGU LA DR.SLAA NA CHADEMA pamoja na wafuasi wao A CURFEW IS INEVITABLE.Vinginevyo JK na CCM atatawala kwa taaabu sana.

Tusubiri tuone nini kinakuja.

Wasaalamu.
Chai tupu!!
 
Hali wala si TETE ni shwali kabsaaa!!! nchini, na wala hakuna haja ya kutangaza hali ya hatari!!! Isipokuwa mazingira ya hali ya hatari yanajengwa na mazumbukuku wachache wasiokubali kushindwa na kukubali ukweli kuwa Slaa hakuwa size ya JK this time around. Asubiri 2015 ingawa naamini hata Chama chake Hakitamteua kuwania tena.

Kapongo unaongea kitu usichokijua.

Mimi niko kwenye taasisi sitaitaja lakini tumepewa alert ya 24hrs monitoring in-case of anything.
Watu wengine huwa hawaamini mpaka waone kwa macho yao mambo yakiharibika.

Kalagabaho.
 
wewe acha kufanya mambo rahisi rahisi hivyo..ebo
ndio maana watz mnaitwa ni vilaza sababu ni hiyo tu ya kusema tusamehe..tusamehe hata kama unaona unapokonywa haki yako.Huo ni ujinga usiopingika kabisa hata kidogo.Siungi vurugu lakini siwezi kukubali kunyimwa haki yangu huku naiona, ni lazima ni-fight mpaka mwisho.
Mtu mzima ovyo! Hivi mnatamani vurugu? Mbna swali lakini umbea mwingi? unadhani vurugu zikitokea kuna mtu anayeweza kuzuia? sitamani vurugu kwani hakuna mshindi. Walioiba kura tunawasamehe tunaamini bila kuiba na kubaki madarakani mkono hautaenda kinywani!

Tunaacha tu lakini tukianzisha varangati haitakuwa rahisi kuonekana mshindi. make ntajifanya niko shambani nalima, ukipita nakunyatia nakuzaba nyundo ya kichwani.

Tusameheane tu hata wenye dola msijigambe kuwa mkitangaza hali ya hatari kuna atakey salimika au kuwa mbabe.

So mind your business, and keep quiet.
 
Kapongo unaongea kitu usichokijua.

Mimi niko kwenye taasisi sitaitaja lakini tumepewa alert ya 24hrs monitoring in-case of anything.
Watu wengine huwa hawaamini mpaka waone kwa macho yao mambo yakiharibika.

Kalagabaho.

TAASISI gani acha kuziingua watu, km slaa kaitaja, we unashindwa nini??
 
Hali inaonekana ni tete sana baada ya Uchaguzi kwenye nchi yetu kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru. Kuna tetesi kwamba huenda JK akatangaza hali ya hatari kwa Taifa mara tu atakapoapishwa. Hii ni kutokana na hali zilizojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi.

Kwa vile JK anajua kabisa kuwa ameingia Ikulu kwa KURA ZA WIZI(CHAKACHUA)akisaidiwa na Tume(NEC),Usalama wa Taifa,Wakuu Wilaya na Mikoa pamoja na Wakurugenzi wao atakuwa na kipindi kigumu cha kuiongoza nchi.

Bado kuna malalamiko na manung'uniko kutoka kila pembe ya Nchi hii kuwa Uchaguzi huu haukuwa Huru wala Haki ingawa wengine wanasema ulikuwa Huru bila Haki. Tayari Chadema wameshawasilisha malalamiko yao NEC pamoja na ushahidi na kuna mipango ya kwenda Mahakamani.

JK anajua kabisa madai ya CHADEMA yana ukweli karibu 90% kama siyo 99% na DHAMIRA yake inamsuta kuwa KURA ALIZOPATA SIYO HALALI. Hilo JK analijua. Safari hii ameingia Ikulu kwa mlango wa uani!

Mtakumbuka siku ile alipokuwa kwenye Mdahalo na Vyombo vya habari alipoulizwa swali kuhusu wizi wa kura. Alijitetea sana kuwa kulingana na mfumo uliopo wa upigaji kura kuiba kura ni vigumu sana. Lakini akatoa HINT ya namna KURA ZINAWEZA KUIBIWA. Kwamba ni wakti wa KUJUMLISHA MATOKEO KWENYE COMPUTER NDIPO WATU WANAWEZA KUCHEZA NA FIGURES KWA KUONGEZA AU KUPUNGUZA NA NDICHO KILICHOTOKEA. KWA HIYO KIKWETE ALIKUWA ANAJUA NA NDIYO MAANA ALIKIGUSIA!

Kwa hiyo basi Rais JK ajaye atakuwa ni Rais asiyejiamini tofauti kabisa na mwaka 2005 alipoingia kwa mbwembwe za kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya. Hana tena ujasiri huo!
Hofu ya Kikwete kwa sasa iko kwa CHADEMA NA DR. SLAA. Kwamba DR.SLAA anaonekana ni tishio kwa utawala wake na hakika anamnyima usingizi. Hataweza kutawala kwa amani.

Ni dhahiri kwamba hali ya hatari inawezekana kabisa kulingana na sababu nilizoeleza hapo juu. Kwamba ili KUZIMA VUGUVUGU LA DR.SLAA NA CHADEMA pamoja na wafuasi wao A CURFEW IS INEVITABLE.Vinginevyo JK na CCM atatawala kwa taaabu sana.

Tusubiri tuone nini kinakuja.

Wasaalamu.

fanya homework, kujifunza ni wakati gani Rais wa nchi anaweza kutangaza hali ya hatari, stio kukuza vitu visivyo na msingi, na SLAA amejiua kisiasa na ataendelea kujiua kama atazidi kuwasikiliza hao maafisa wa uongo, MBOWE ni bizman, alichotaka keshapata.....SLAA kabaki mtupu mfukoni, kichwani, na siasani...............
 
Hali wala si TETE ni shwali kabsaaa!!! nchini, na wala hakuna haja ya kutangaza hali ya hatari!!! Isipokuwa mazingira ya hali ya hatari yanajengwa na mazumbukuku wachache wasiokubali kushindwa na kukubali ukweli kuwa Slaa hakuwa size ya JK this time around. Asubiri 2015 ingawa naamini hata Chama chake Hakitamteua kuwania tena.

Kuna kaukweli ndani yake ila kuwaita watu "mazumbukuku" noma jamaa yangu!
 
Hakuna hali ya hatari hatujafika huko,hofu kubwa iko kwa hao wezi na siku zote ndivyo mwizi anavyokuwa na hofu hasa pale anapojua ukweli unajulikana.Ila swala la kupigania haki yetu liko pale pale na Dr naamini mikakati yake iko sawa, kuawaacha ni kama vile kukubaliana na hali sasa mwishowe wataona ni haki yao kuiba au katawala kimabavu na hapo ndio hali itakuwa ya hatari.Sasa ni bora kudai haki na kuonyesha dhahiri kwamba waliyoyafanya umma wa TZ haujaafiki.Kama kuna uwezekano wa kuwaadhibu kuendana na sheria itakavyoruhusu waadhibiwe ipasavyo wote hao waliohusika kwani ndio wanaleta mazingira ya kuharibu aman pamoja na matatizo mengine yote yanayowakumba watanzania wa leo kutokana na utawala huu mbovu,usio na dira ambao sasa unaelekea kutumia nguvu zaidi kuliko akili.
 
hali ya hatari ni pamoja na yeye kikwete....ni wazi atakuwa na guilty conciousness...hatakuwa free tena kama 2005 kiasi cha kutoka ikulu mpaka kanisa la azania font ila ving'ora....hayupo salama..
 
Kwa nini Kikwete awe na wasi wasi? kama kuna watu wa kudhuriwa basi wa kwanza ni Kiravu na Makame! kumdhuru Kikwete ni kumuonea tu kwani naturaly hatafika 2015.
 
Acheni ushabiki usio na maana kwa maslahi ya wananchi. Huu ni ulimbukeni wa madaraka na interest za kutawala bila tija. Mnaobweteka na amani wakati watu wanakufa kwa kukosa huduma za msingi sababu mnasikiliza majukwaani na sio utekelezaji??? Acheni ushabiki tufikiriemaendeleo ya nchi
 
acha mbwembwe lete facts!:nono:

Nadhani wewe hauko TZ na kama ungelikuwepo ungelijua hili, Pili nadhani si mfuatiliaji wa Siasa za Bongo nandio maana hujui kitu kila kitu wewe wataka facts hivi hata humu jamii forums hujui kutafuta zipo humu ndani utazipata.

Haya Huu apo ndio mfano halisi!


Dr.slaa na chadema twendeni mahakamani ushahidi upo tele!!!!

Hili swala la CCM,NEC,UWT(Usalama wa Taifa) KUCHAKACHUA matokeo ya kura za Urais na Ubunge liko wazi kabisa na ushahidi upo.

Mifano halisi ni ucheleweshaji wa kutangaza matokeo kwenye maeneo yenye nguvu kubwa ya Upinzani hasa CHADEMA. Hii haikutokea kwa bahati mbaya ni MAKUSUDI. Angali kilichotokea Dar,Arusha,Mwanza,Mbeya,Shinyanga na maneneo mengine mengi.


Majimbo ya Nyamagana,Ilemera,Arusha Mjini,Karatu,Shinyanga Mjini kura zake mpaka jana Usiku NEC walikuwa bado HAWAJAZIJUMLISHWA KWENYE IDADI YA KURA ZA DR.SLAA KWA MAKUSUDI wakti tayari wasimamizi wa majimbo walizitangaza kwa SHINIKIZO ZA WANANCHI. Nec wamefanya kusudi kuchelewesha kujumlisha ili Kiwete aonekana kuwa anaongoza kwa mbali.


HAINGII AKILINI MTU UMPIGIE KURA MBUNGE WA CHADEMA HALAFU KURA YA URAIS UMPE MGOMBEA WA CCM KIWETE. MTU UNACHAGUA SERA ZA CHAMA SIYO SURA YA MTU. MIFANO:


JIMBO: CHAMA:----------------------------UBUNGE:-------------------RAIS:

ARUSHA MJINI CHADEMA................................56,208..... .....................54,208
CCM............................................... ............36,107..........................39,107

MBEYA MJINI CHADEMA.................................46,411.... ....................42,917
CCM............................................... ............24,236........................32,249

MWANZA-NYAMAGANA CHADEMA......................38,171............... ..........30,991
CCM............................................... ..............27,883........................32,320


MWANZA-ILEMERA CHADEMA............................31,256......... .................29,701
CCM............................................... ...............26,870........................9,143

MASWA MAGH CHADEMA.........................17,456............ .............11,742
CCM............................................... .....12,824.........................17,104

MASWA MASH CHADEMA......................17,075............... ..........12,203
CCM............................. 17,014.........................21,150


Kali zaidi ni hii ya JIMBO LA Musoma mjini: Kutoka KURA 14,723 za Mbunge wa CCM na kuongezwa kufikia KURA 49,858 za KIKWETE.

MUSOMA MJINI CHADEMA....................21,335................. .......23,211
CCM............................................... ..14,723........................49,858???

Hii ni zaidi ya mara 3 ya kura za Mbunge.Haingii akilini mtu amkatae mbunge wa chama halafu ampe Rais wa chama cha mbunge huyu aliyemkataa. Labda kama mtu huyo anachagua SURA na siyo SERA!!!!!!!!!!!!!!



Mpaka sasa ukiingia kwenye WEBSITE YA TUME: http:/www.nec.go.tz Bado KURA HIZO HAZIONEKANI KWENYE MTANDAO. KWANINI HAWATAKI KUZIJUMLISHA? WANOGOPA NINI?


Soma hizi nukuu toka Gazeti la MWANANCHI toleo la leo 5/11/2010:


''..............Nao wasomi wameungana na madai ya Dk Slaa wakisema kuwa uchakachuaji matokeo ya kura nchini umekuwa aibu kwa taifa
.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam jana, wasomi hao walisema kuna dalili zinazotia shaka kwamba matokeo ya urais yamechakachuliwa kwa kuwa hawaoni sababu kucheleweshwa kutangazwa.
“Tunajua kuwa hata kama CCM ingeshinda, isingeshinda kwa kura nyingi kiasi hicho. Kwa nini tumsifie mtu kuwa ameshinda kwa kishindo na huku amechakachua matokeo?”alisema Dk Fairles Ilomo, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tumaini, Iringa.
Dk Ilomo alisema haiingii akilini kuelezwa kuwa matokeo yamechelewa kutangazwa kwa sababu ya matumizi ya kompyuta katika hatua ya kuhesabu kwani wakati wa upigaji, wananchi hawakutumia kompyuta.


"
Kwanini matokeo yasubiri kompyuta? Hakuna logic (mantiki) kusema kuwa kuingiza data kwenye kompyuta kulisababisha ucheleweshaji maana hata uchaguzi wa Marekani, walitumia kompyuta na matokeo yakawahi kutolewa," alisema Dk Ilomo.
“Ni kweli uchaguzi ulifanyika vizuri na kulikuwa na amani lakini katika hatua ya kuhesabu kura na kutangaza matokeo kulikuwa na uchakachuaji hasa katika maeneo nyeti.
“Rais aapishwe, lakini Dk Slaa ana haki ya kuendelea na malalamiko yake. Kama malalamiko hayo yakionekana yana ukweli, maamuzi mengine yafuate."

..............Mhadhiri mwingine chuoni hapo Harod Tairo alisema amestuka kuona matokeo hayo yanaonyesha kuwa watu wengi wamewapigia kura wabunge wa Chadema lakini si mgombea wake wa urais, yaani Dk Willibrod Slaa

“Mimi naamini kwamba wabunge wengi wa Chadema walichaguliwa kwa juhudi za Dk Slaa. Wananchi hawawezi kuchagua mbunge wa Chadema halafu rais wamchague wa CCM. Mimi naona matokeo hayaakisi halihalisi,” alisema Tairo.

Hawa wasomi na Wahadhiri naungana nao kwa 100%.



 


Nadhani wewe hauko TZ na kama ungelikuwepo ungelijua hili, Pili nadhani si mfuatiliaji wa Siasa za Bongo nandio maana hujui kitu kila kitu wewe wataka facts hivi hata humu jamii forums hujui kutafuta zipo humu ndani utazipata.

Haya Huu apo ndio mfano halisi!


Dr.slaa na chadema twendeni mahakamani ushahidi upo tele!!!!

Hili swala la CCM,NEC,UWT(Usalama wa Taifa) KUCHAKACHUA matokeo ya kura za Urais na Ubunge liko wazi kabisa na ushahidi upo.

Mifano halisi ni ucheleweshaji wa kutangaza matokeo kwenye maeneo yenye nguvu kubwa ya Upinzani hasa CHADEMA. Hii haikutokea kwa bahati mbaya ni MAKUSUDI. Angali kilichotokea Dar,Arusha,Mwanza,Mbeya,Shinyanga na maneneo mengine mengi.


Majimbo ya Nyamagana,Ilemera,Arusha Mjini,Karatu,Shinyanga Mjini kura zake mpaka jana Usiku NEC walikuwa bado HAWAJAZIJUMLISHWA KWENYE IDADI YA KURA ZA DR.SLAA KWA MAKUSUDI wakti tayari wasimamizi wa majimbo walizitangaza kwa SHINIKIZO ZA WANANCHI. Nec wamefanya kusudi kuchelewesha kujumlisha ili Kiwete aonekana kuwa anaongoza kwa mbali.


HAINGII AKILINI MTU UMPIGIE KURA MBUNGE WA CHADEMA HALAFU KURA YA URAIS UMPE MGOMBEA WA CCM KIWETE. MTU UNACHAGUA SERA ZA CHAMA SIYO SURA YA MTU. MIFANO:


JIMBO: CHAMA:----------------------------UBUNGE:-------------------RAIS:

ARUSHA MJINI CHADEMA................................56,208..... .....................54,208
CCM............................................... ............36,107..........................39,107

MBEYA MJINI CHADEMA.................................46,411.... ....................42,917
CCM............................................... ............24,236........................32,249

MWANZA-NYAMAGANA CHADEMA......................38,171............... ..........30,991
CCM............................................... ..............27,883........................32,320


MWANZA-ILEMERA CHADEMA............................31,256......... .................29,701
CCM............................................... ...............26,870........................9,143

MASWA MAGH CHADEMA.........................17,456............ .............11,742
CCM............................................... .....12,824.........................17,104

MASWA MASH CHADEMA......................17,075............... ..........12,203
CCM............................. 17,014.........................21,150


Kali zaidi ni hii ya JIMBO LA Musoma mjini: Kutoka KURA 14,723 za Mbunge wa CCM na kuongezwa kufikia KURA 49,858 za KIKWETE.

MUSOMA MJINI CHADEMA....................21,335................. .......23,211
CCM............................................... ..14,723........................49,858???

Hii ni zaidi ya mara 3 ya kura za Mbunge.Haingii akilini mtu amkatae mbunge wa chama halafu ampe Rais wa chama cha mbunge huyu aliyemkataa. Labda kama mtu huyo anachagua SURA na siyo SERA!!!!!!!!!!!!!!



Mpaka sasa ukiingia kwenye WEBSITE YA TUME: http:/www.nec.go.tz Bado KURA HIZO HAZIONEKANI KWENYE MTANDAO. KWANINI HAWATAKI KUZIJUMLISHA? WANOGOPA NINI?


Soma hizi nukuu toka Gazeti la MWANANCHI toleo la leo 5/11/2010:


''..............Nao wasomi wameungana na madai ya Dk Slaa wakisema kuwa uchakachuaji matokeo ya kura nchini umekuwa aibu kwa taifa
.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam jana, wasomi hao walisema kuna dalili zinazotia shaka kwamba matokeo ya urais yamechakachuliwa kwa kuwa hawaoni sababu kucheleweshwa kutangazwa.
"Tunajua kuwa hata kama CCM ingeshinda, isingeshinda kwa kura nyingi kiasi hicho. Kwa nini tumsifie mtu kuwa ameshinda kwa kishindo na huku amechakachua matokeo?"alisema Dk Fairles Ilomo, mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tumaini, Iringa.
Dk Ilomo alisema haiingii akilini kuelezwa kuwa matokeo yamechelewa kutangazwa kwa sababu ya matumizi ya kompyuta katika hatua ya kuhesabu kwani wakati wa upigaji, wananchi hawakutumia kompyuta.


"
Kwanini matokeo yasubiri kompyuta? Hakuna logic (mantiki) kusema kuwa kuingiza data kwenye kompyuta kulisababisha ucheleweshaji maana hata uchaguzi wa Marekani, walitumia kompyuta na matokeo yakawahi kutolewa," alisema Dk Ilomo.
"Ni kweli uchaguzi ulifanyika vizuri na kulikuwa na amani lakini katika hatua ya kuhesabu kura na kutangaza matokeo kulikuwa na uchakachuaji hasa katika maeneo nyeti.
"Rais aapishwe, lakini Dk Slaa ana haki ya kuendelea na malalamiko yake. Kama malalamiko hayo yakionekana yana ukweli, maamuzi mengine yafuate."

..............Mhadhiri mwingine chuoni hapo Harod Tairo alisema amestuka kuona matokeo hayo yanaonyesha kuwa watu wengi wamewapigia kura wabunge wa Chadema lakini si mgombea wake wa urais, yaani Dk Willibrod Slaa

"Mimi naamini kwamba wabunge wengi wa Chadema walichaguliwa kwa juhudi za Dk Slaa. Wananchi hawawezi kuchagua mbunge wa Chadema halafu rais wamchague wa CCM. Mimi naona matokeo hayaakisi halihalisi," alisema Tairo.

Hawa wasomi na Wahadhiri naungana nao kwa 100%.




Kama ni kweli hii ya Musoma ina walakini. Hawezakani total ya kura za marais iwe karibia mara mbili ya total za wabunge. Unless CUF walikuwa na kura nyingi za ubunge lakini hawakupata kabisa za urais! Ajabu
 
Hali wala si TETE ni shwali kabsaaa!!! nchini, na wala hakuna haja ya kutangaza hali ya hatari!!! Isipokuwa mazingira ya hali ya hatari yanajengwa na mazumbukuku wachache wasiokubali kushindwa na kukubali ukweli kuwa Slaa hakuwa size ya JK this time around. Asubiri 2015 ingawa naamini hata Chama chake Hakitamteua kuwania tena.

Mmeanza matusi jitayarisheni kutukanwa hadharani na hapo ndipo utaiona Nguvu ya Watu. zumbukuku wee
 
Back
Top Bottom