Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Hiyo hatari unaiona peke yako......dream on with your fantasy.......unakuwa unaota ndoto za mchana.....nchi ipo shwari na JK kashinda .....asiyekubali kushindwa sio mshindani.....na SIASA haina DROO au MECHI YA MARUDIANO......imetoka.....
Hatari haipo lakini imehatarishwa tayari. Ni taahira tu anaeibiwa halafu anaambiwa amani na utlivu. Nani anataka mechi ya marudiano na mwizi ni kweli imetoka subiri shubiri