Kikwete kosa kubwa ni kumpa Magufuli chama, utanikumbuka

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,302
23,020
Bado nafikiria tu, kwa akili ya kawaida Jakaya Kikwete anamkabidhi vipi Joseph Pombe Magufuli chama? Yaani sababu kubwa ni kwamba eti ni utaratibu toka mwanzo?Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi kwa utaratibu huu bado Jakaya Kikwete haoni tu?

Tunampa vipi mtu chama wakati hata jukumu la nchi tulilompa bado ni shida? Yaani kila siku yeye anajifunza tu. Chama ni zaidi ya serikali, chama ni mama, Serikali ni mtoto wa chama, na Serikali huongoza kupitia chama.

Bado naendelea kuvuta picha, yaani haingii akilini kabisa kumpa mtu chama ambaye hujui hata historia yake. Nina hakika ukimwuliza Magufuli akutajie makatibu wakuu wa 5 wa chama waliopita hatoweza, hata taratibu nyingi cha chama hazijui.

Please JK just be serious, dont make a mistake. Be strong, lead the party until you find its the right time for Magufuli
 
Bado nafikiria tu, kwa akili ya Kawaida Jk anamkabidhi vipi JPM chama? Yaani sababu kubwa ni kwamva eti ni utaratibu toka mwanzo?

Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi kwa utaratibu huu bado JK haoni tu?

Tunampa vipi mtu chama wakati hata jukumu la nchi tulilompa bado ni shida? Yaani kila siku yeye anajifunza tu.

Chama ni zaidi ya serikali, chama ni Mama, serikali ni mtoto wa chama, na serikali huongoza kupitia chama.

Bado naendelea kuvuta picha, yaani haingii akilini kabisa kumpa mtu chama ambaye hajui hata historia yake.

Nina hakika ukimwuliza magufuli akutajie makatibu wakuu wa 5 wa chama waliopita hato weza, hata taratibu nyingi cha chama hazijui.

Plz JK just be serious, dont make a mistake.
Be strong, lead the part until Magufuli Matured enough.
Siyo bure ukajiita Ibilisi, mdhambi mkubwa sana wewe!
CCM imekuwa ikipasiana vijiti vya uongozi wa chama toka kuondoka kwa Mwalimu.

Nyie mnaokula nyuma ya migongo ya wengine mnajidhalilisha!
 
Atajifunza hukohuko chamani

Mkuu hii nchi ni ya kujifunza sio?
Yaani mnafanya majaribio na maisha ya watu?

Kujifunza kuendesha nchi au chama ni zaidi ya miaka 10.
Tunapaswa kuwapa watu walio iva, wenye uelewa, wakipewa majukumu ni kazi tu.

Sasa tumempa mtu nchi afu tunaona kila siku anatinyanga, eti bado hajazoeaa, anajifunzaa!?,
Hatupo serious Na maisha ya watanzania
 
Siyo bure ukajiita Ibilisi, mdhambi mkubwa sana wewe!
CCM imekuwa ikipasiana vijiti vyabuongozi wa chama toka kuondoka kwa Mwalimu.

Nyie mnaokula nyuma ya migongo ya wengine mnajidhalilisha!

Mkuu sina shaka na ccm kupeana pasi za uongozi, tatizo ni kwamba tunaempa pasi leo hii ni mgeni kila idara, anadhani mmaendeleo ni kuondoa ufisadi tu.
Magufuli hana dira yakulipeleka taifa anapotaka, bado anabahatisha njiaa akitegemea atafikaa.
Mbaya zaid wengi wanaona anapotea lkn hakuna wakumwambiaa
 
Mkuu hii nchi ni ya kujifunza sio?
Yaani mnafanya majaribio na maisha ya watu?

Kujifunza kuendesha nchi au chama ni zaidi ya miaka 10.
Tunapaswa kuwapa watu walio iva, wenye uelewa, wakipewa majukumu ni kazi tu.

Sasa tumempa mtu nchi afu tunaona kila siku anatinyanga, eti bado hajazoeaa, anajifunzaa!?,
Hatupo serious Na maisha ya watanzania
Hamia chadema.
 
Mkuu sina shaka na ccm kupeana pasi za uongozi, tatizo ni kwamba tunaempa pasi leo hii ni mgeni kila idara, anadhani mmaendeleo ni kuondoa ufisadi tu.
Magufuli hana dira yakulipeleka taifa anapotaka, bado anabahatisha njiaa akitegemea atafikaa.
Mbaya zaid wengi wanaona anapotea lkn hakuna wakumwambiaa
Nenda chadema ,Wenye mawazo kama yako ya dira wapo huko.

Huenda dira yako ikawasaidia hata kujenga ofisi ya chama
 
Bado nafikiria tu, kwa akili ya kawaida Jakaya Kikwete anamkabidhi vipi Joseph Pombe Magufuli chama? Yaani sababu kubwa ni kwamba eti ni utaratibu toka mwanzo?Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi kwa utaratibu huu bado Jakaya Kikwete haoni tu?

Tunampa vipi mtu chama wakati hata jukumu la nchi tulilompa bado ni shida? Yaani kila siku yeye anajifunza tu. Chama ni zaidi ya serikali, chama ni mama, Serikali ni mtoto wa chama, na Serikali huongoza kupitia chama.

Bado naendelea kuvuta picha, yaani haingii akilini kabisa kumpa mtu chama ambaye hujui hata historia yake. Nina hakika ukimwuliza Magufuli akutajie makatibu wakuu wa 5 wa chama waliopita hatoweza, hata taratibu nyingi cha chama hazijui.

Please JK just be serious, dont make a mistake. Be strong, lead the you find its the right time for Magufuli
Lini umeanza kuipenda CCM na Kikwete?

Naona masalia ya mamvi CCM mnapuyanga
 
Bado nafikiria tu, kwa akili ya kawaida Jakaya Kikwete anamkabidhi vipi Joseph Pombe Magufuli chama? Yaani sababu kubwa ni kwabva eti ni utaratibu toka mwanzo?Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi kwa utaratibu huu bado Jakaya Kikwete haoni tu?

Tunampa vipi mtu chama wakati hata jukumu la nchi tulilompa bado ni shida? Yaani kila siku yeye anajifunza tu.Chama ni zaidi ya serikali, chama ni mama, Serikali ni mtoto wa chama, na Serikali huongoza kupitia chama.

Bado naendelea kuvuta picha, yaani haingii akilini kabisa kumpa mtu chama ambaye hajui hata historia yake.Nina hakika ukimwuliza Magufuli akutajie Makatibu wakuu wa 5 wa chama waliopita hatoweza, hata taratibu nyingi cha chama hazijui.

Plz JK just be serious, dont make a mistake.Be strong, lead the part until Magufuli Matured enough.
Kwani Kikwete,Mwinyi na Mkapa walizaliwa wakiwa na uzoefu wa uenyekiti waCCM!?
Magufuli ni Fast learner,so he will through kama ilivyokuwa kwa wote waliomtangulia kwy nafasi hiyo, usiogope!
 

Similar Discussions

22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom