Mapatano Itika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 254
- 133
Mbona waliompa yeye Chama hawakujuta?
Kwani Kikwete,Mwinyi na Mkapa walizaliwa wakiwa na uzoefu wa uenyekiti waCCM!?
Magufuli ni Fast learner,so he will through kama ilivyokuwa kwa wote waliomtangulia kwy nafasi hiyo, usiogope!
Bado nafikiria tu, kwa akili ya kawaida Jakaya Kikwete anamkabidhi vipi Joseph Pombe Magufuli chama? Yaani sababu kubwa ni kwamba eti ni utaratibu toka mwanzo?Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi kwa utaratibu huu bado Jakaya Kikwete haoni tu?
Tunampa vipi mtu chama wakati hata jukumu la nchi tulilompa bado ni shida? Yaani kila siku yeye anajifunza tu. Chama ni zaidi ya serikali, chama ni mama, Serikali ni mtoto wa chama, na Serikali huongoza kupitia chama.
Bado naendelea kuvuta picha, yaani haingii akilini kabisa kumpa mtu chama ambaye hujui hata historia yake. Nina hakika ukimwuliza Magufuli akutajie makatibu wakuu wa 5 wa chama waliopita hatoweza, hata taratibu nyingi cha chama hazijui.
Please JK just be serious, dont make a mistake. Be strong, lead the party until you find its the right time for Magufuli
Hii nchi imefikia hapa tulipo kwa sababu ya Ufisadi, tukifanikiwa kuuzika ufisadi nakwambia lazima nchi ipige hatua, na kama Magufuli anaweza kupambana na ufisadi basi anatufaa shida yetu ndani ya miaka hii kumi ni kupambana na ufisadi kweli kweli ili kila mtu ajue wizi haulipi kiasi ya kwamba kizazi kijacho kiishi kwenye misingi ya kuogopa wiziMkuu sina shaka na ccm kupeana pasi za uongozi, tatizo ni kwamba tunaempa pasi leo hii ni mgeni kila idara, anadhani mmaendeleo ni kuondoa ufisadi tu.
Magufuli hana dira yakulipeleka taifa anapotaka, bado anabahatisha njiaa akitegemea atafikaa.
Mbaya zaid wengi wanaona anapotea lkn hakuna wakumwambiaa
Kama naanza kuiona fisiem ikisambaratika chini ya utawala wa M/kiti wao mpya ajaye...Bado nafikiria tu, kwa akili ya kawaida Jakaya Kikwete anamkabidhi vipi Joseph Pombe Magufuli chama? Yaani sababu kubwa ni kwamba eti ni utaratibu toka mwanzo?Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi kwa utaratibu huu bado Jakaya Kikwete haoni tu?
Tunampa vipi mtu chama wakati hata jukumu la nchi tulilompa bado ni shida? Yaani kila siku yeye anajifunza tu. Chama ni zaidi ya serikali, chama ni mama, Serikali ni mtoto wa chama, na Serikali huongoza kupitia chama.
Bado naendelea kuvuta picha, yaani haingii akilini kabisa kumpa mtu chama ambaye hujui hata historia yake. Nina hakika ukimwuliza Magufuli akutajie makatibu wakuu wa 5 wa chama waliopita hatoweza, hata taratibu nyingi cha chama hazijui.
Please JK just be serious, dont make a mistake. Be strong, lead the party until you find its the right time for Magufuli
Kama ulikuwa unatanua tumbo kwa pesa za miradi ya chama tawalaCCM hakika hamtapona msimu huu,jiandaeni na mabadiliko ya shughuli za kufanya mwisho wenu ni mwezi huu manyanganyi wakubwa kabisa nyie!Bado nafikiria tu, kwa akili ya kawaida Jakaya Kikwete anamkabidhi vipi Joseph Pombe Magufuli chama? Yaani sababu kubwa ni kwamba eti ni utaratibu toka mwanzo?Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi kwa utaratibu huu bado Jakaya Kikwete haoni tu?
Tunampa vipi mtu chama wakati hata jukumu la nchi tulilompa bado ni shida? Yaani kila siku yeye anajifunza tu. Chama ni zaidi ya serikali, chama ni mama, Serikali ni mtoto wa chama, na Serikali huongoza kupitia chama.
Bado naendelea kuvuta picha, yaani haingii akilini kabisa kumpa mtu chama ambaye hujui hata historia yake. Nina hakika ukimwuliza Magufuli akutajie makatibu wakuu wa 5 wa chama waliopita hatoweza, hata taratibu nyingi cha chama hazijui.
Please JK just be serious, dont make a mistake. Be strong, lead the party until you find its the right time for Magufuli
Kama ulikuwa unatanua tumbo kwa pesa za miradi ya chama tawalaCCM hakika hamtapona msimu huu,jiandaeni na mabadiliko ya shughuli za kufanya mwisho wenu ni mwezi huu manyanganyi wakubwa kabisa nyie!
..Kama vile nawaona ccm maslai wanavyoshangilia ujio wa bulldozer bila hata ya kujua hatma yao ya kesho..Hili jamaa lina mirija kwenye miradi ya Ccm lisubiri mirija kukatwa na mashtaka juu.
Karibu mwaka sasa hajamaliza kuunda serikali yakeExactly!!
Jk anaogopa fukuto la kelele kutoka kwa makanjanjaa. Jk anaelewa wazi tunaemkabidhi chama hastahili hata uenyekiti wa chama wilaya
Nimewahi kusema,hii nchi ililetwa kwa ajili ya majaribio kwa hiyo hakuna la ajabu hapoMkuu hii nchi ni ya kujifunza sio?
Yaani mnafanya majaribio na maisha ya watu?
Kujifunza kuendesha nchi au chama ni zaidi ya miaka 10.
Tunapaswa kuwapa watu walio iva, wenye uelewa, wakipewa majukumu ni kazi tu.
Sasa tumempa mtu nchi afu tunaona kila siku anatinyanga, eti bado hajazoeaa, anajifunzaa!?,
Hatupo serious Na maisha ya watanzania
Nahisi ulizoea kuishi kwa ujanja ujanja na kwa mgongo wa CCM sasa muda umefika tafuta kazi ya kufanya, nyie ndio watu mliorudisha nyuma maendeleo ya nchi.Bado nafikiria tu, kwa akili ya kawaida Jakaya Kikwete anamkabidhi vipi Joseph Pombe Magufuli chama? Yaani sababu kubwa ni kwamba eti ni utaratibu toka mwanzo?Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi kwa utaratibu huu bado Jakaya Kikwete haoni tu?
Tunampa vipi mtu chama wakati hata jukumu la nchi tulilompa bado ni shida? Yaani kila siku yeye anajifunza tu. Chama ni zaidi ya serikali, chama ni mama, Serikali ni mtoto wa chama, na Serikali huongoza kupitia chama.
Bado naendelea kuvuta picha, yaani haingii akilini kabisa kumpa mtu chama ambaye hujui hata historia yake. Nina hakika ukimwuliza Magufuli akutajie makatibu wakuu wa 5 wa chama waliopita hatoweza, hata taratibu nyingi cha chama hazijui.
Please JK just be serious, dont make a mistake. Be strong, lead the party until you find its the right time for Magufuli
Tueleze hao waliopita waliokuwa "wanakijua chama" walikiendeshaje?Mkuu hii nchi ni ya kujifunza sio?
Yaani mnafanya majaribio na maisha ya watu?
Kujifunza kuendesha nchi au chama ni zaidi ya miaka 10.
Tunapaswa kuwapa watu walio iva, wenye uelewa, wakipewa majukumu ni kazi tu.
Sasa tumempa mtu nchi afu tunaona kila siku anatinyanga, eti bado hajazoeaa, anajifunzaa!?,
Hatupo serious Na maisha ya watanzania
Hao wenyeji ndo wametufika hapa tulipo...ni heri ungekaa kimya!Mkuu sina shaka na ccm kupeana pasi za uongozi, tatizo ni kwamba tunaempa pasi leo hii ni mgeni kila idara, anadhani mmaendeleo ni kuondoa ufisadi tu.
Magufuli hana dira yakulipeleka taifa anapotaka, bado anabahatisha njiaa akitegemea atafikaa.
Mbaya zaid wengi wanaona anapotea lkn hakuna wakumwambiaa
Unataka tumpe joka la makengeza? Pita hiviiiMkuu hii nchi ni ya kujifunza sio?
Yaani mnafanya majaribio na maisha ya watu?
Kujifunza kuendesha nchi au chama ni zaidi ya miaka 10.
Tunapaswa kuwapa watu walio iva, wenye uelewa, wakipewa majukumu ni kazi tu.
Sasa tumempa mtu nchi afu tunaona kila siku anatinyanga, eti bado hajazoeaa, anajifunzaa!?,
Hatupo serious Na maisha ya watanzania
Bado nafikiria tu, kwa akili ya kawaida Jakaya Kikwete anamkabidhi vipi Joseph Pombe Magufuli chama? Yaani sababu kubwa ni kwamba eti ni utaratibu toka mwanzo?Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi kwa utaratibu huu bado Jakaya Kikwete haoni tu?
Tunampa vipi mtu chama wakati hata jukumu la nchi tulilompa bado ni shida? Yaani kila siku yeye anajifunza tu. Chama ni zaidi ya serikali, chama ni mama, Serikali ni mtoto wa chama, na Serikali huongoza kupitia chama.
Bado naendelea kuvuta picha, yaani haingii akilini kabisa kumpa mtu chama ambaye hujui hata historia yake. Nina hakika ukimwuliza Magufuli akutajie makatibu wakuu wa 5 wa chama waliopita hatoweza, hata taratibu nyingi cha chama hazijui.
Please JK just be serious, dont make a mistake. Be strong, lead the party until you find its the right time for Magufuli
Wakati ni ukuta mkuu ukifika huna budi. JK enzi zake ziliisha sahivi ni wakati wa mabadiliko kila pahala, hata Baba wa Taifa hakuamini kama aking'atuka nchi itakwenda lakini hakuwa na jinsi tena. Ilibidi astaafu urais na baadae chamani na nchi ikaenda, tulikofika ni hapa hayo mengine ni historia. Kwa msingi huu, hoja yako haina mashiko kabisa.Bado nafikiria tu, kwa akili ya kawaida Jakaya Kikwete anamkabidhi vipi Joseph Pombe Magufuli chama? Yaani sababu kubwa ni kwamba eti ni utaratibu toka mwanzo?Pamoja na jinsi JPM anaongoza nchi kwa utaratibu huu bado Jakaya Kikwete haoni tu?
Tunampa vipi mtu chama wakati hata jukumu la nchi tulilompa bado ni shida? Yaani kila siku yeye anajifunza tu. Chama ni zaidi ya serikali, chama ni mama, Serikali ni mtoto wa chama, na Serikali huongoza kupitia chama.
Bado naendelea kuvuta picha, yaani haingii akilini kabisa kumpa mtu chama ambaye hujui hata historia yake. Nina hakika ukimwuliza Magufuli akutajie makatibu wakuu wa 5 wa chama waliopita hatoweza, hata taratibu nyingi cha chama hazijui.
Please JK just be serious, dont make a mistake. Be strong, lead the party until you find its the right time for Magufuli