Kikwete kawatosa mafisadi moja kwa moja?

MWANALUGALI

JF-Expert Member
Feb 1, 2010
601
34
Uundwaji wa baraza la Mawaziri uliofanywa na Kikwete hivi karibuni kumedhihirisha kuwa Rais Kikwete amejitanabahisha kuwa ktk kundi la Wapiganaji dhidi ya Mafisadi kwa kwaacha nje ya Baraza lake wale watuhumiwa wakubwa wa ufisadi na badala yake akawajumuisha wapiganaji kama Samuel Sitta na Dr H.Mwakyembe.

Hivi kweli Kikwete ana ubavu wa kumtosa moja kwa moja rafiki yake wa kweli ambaye hawakukutana barabarani? Hivi ana msimamo thabiti wa kukataa matakwa ya Rostam kwenye Serikali yake? Ngoja tusubiri tuone kama hatafanya mabadiliko muda si muda ili kuwaingiza marafiki zake Mafisadi ambao kwa sasa wameachwa.

Kitendo cha kutowagusa Mahanga Makongoro na Sofia Simba ni ishara ya kulinda connection au ni matokeo ya bahati tu? Hivi Makongoro atakaa amwangalie SIx usoni wakikutana kwenye baraza?
 
Uundwaji wa baraza la Mawaziri uliofanywa na Kikwete hivi karibuni kumedhihirisha kuwa Rais Kikwete amejitanabahisha kuwa ktk kundi la Wapiganaji dhidi ya Mafisadi kwa kwaacha nje ya Baraza lake wale watuhumiwa wakubwa wa ufisadi na badala yake akawajumuisha wapiganaji kama Samuel Sitta na Dr H.Mwakyembe.

Hivi kweli Kikwete ana ubavu wa kumtosa moja kwa moja rafiki yake wa kweli ambaye hawakukutana barabarani? Hivi ana msimamo thabiti wa kukataa matakwa ya Rostam kwenye Serikali yake? Ngoja tusubiri tuone kama hatafanya mabadiliko muda si muda ili kuwaingiza marafiki zake Mafisadi ambao kwa sasa wameachwa.

Kitendo cha kutowagusa Mahanga Makongoro na Sofia Simba ni ishara ya kulinda connection au ni matokeo ya bahati tu? Hivi Makongoro atakaa amwangalie SIx usoni wakikutana kwenye baraza?
Mimi nafikiri ni makosa san kudhani kuwa Kikwete amejitenga na Mafisadi eti kwa kuwa tu El RA hawako kwenye baraza la mawaziri. Ukumbuke kuwa chama kinaongozwa na vikao na huko ndipo nguvu ya mafisadi ilipo, tumeona jinsi SS alivyotoswa kwa maelezo yasiyojitosheleza na CC, el bado ni mjumbe halali wa vikao vikubwa vya maamuzi ya chama, ra bado ni mfadhili na mshauri mkubwa sana katika mfumo wa uongozi wa nchi.
Kiongozi yeyote angefanya alichofanya Kikwete ili kupotezea na wananchi wapunguze kelele, na Jambo muhimu sana la kukumbuka kwa sasa ni kuwa, kilichoharibika kwa sasa si mtu mmoja mmoja bali ni mfumo mzima wa uongozi ndani ya nchi chini ya serikali ya ccm, so yeyote anayepewa dhamana ya kuongoza atafanya kazi chini ya mfumo mbovu kabisa usio na tija kwa maisha ya watanzania maskini bila kujali jina ubora na cheo chake.ndiyo maana sitarajii maajabu yoyote kutoka kwa mawaziri wapya bila kujali ni Pombe au Mwakyembye since mfumo ni mbovu hawatafanya maajabu zaidi ya kusubiri maelekezo ya kifisadi
 
Ujasiri wa kumteua Samuel Sitta na Dk. Mwakyembe umetokana na nini? hawa si ndo wabaya wakubwa wa mafisadi? Mie nadhani hivi sasa mafisadi wanasikitika na kunyong'onyea baada ya kumuona Swahiba wao akiwatosa na kuwakumbatia wapambanaji!
 
Funika kombe mwanaharamu apite!!!! Anayebisha asubiri uchaguzi wa chama aone Mafisadi na mawakala wao watakavyo peta kwenye Halmashauri Kuu na kamati kuu yao!
Sitta na Mwakyembe wametiwa changa la Macho.
 
Aaah wapi danganya toto tu hiyooo, LOWASSA and ROSTAM are powerful as ever!!!!!
 
Uundwaji wa baraza la Mawaziri uliofanywa na Kikwete hivi karibuni kumedhihirisha kuwa Rais Kikwete amejitanabahisha kuwa ktk kundi la Wapiganaji dhidi ya Mafisadi kwa kwaacha nje ya Baraza lake wale watuhumiwa wakubwa wa ufisadi na badala yake akawajumuisha wapiganaji kama Samuel Sitta na Dr H.Mwakyembe.

Hivi kweli Kikwete ana ubavu wa kumtosa moja kwa moja rafiki yake wa kweli ambaye hawakukutana barabarani? Hivi ana msimamo thabiti wa kukataa matakwa ya Rostam kwenye Serikali yake? Ngoja tusubiri tuone kama hatafanya mabadiliko muda si muda ili kuwaingiza marafiki zake Mafisadi ambao kwa sasa wameachwa.

Kitendo cha kutowagusa Mahanga Makongoro na Sofia Simba ni ishara ya kulinda connection au ni matokeo ya bahati tu? Hivi Makongoro atakaa amwangalie SIx usoni wakikutana kwenye baraza?
:nono:
:nono::nono:
:nono::nono::nono:
:nono::nono::nono::nono:
:nono::nono::nono::nono::nono:
:nono::nono::nono::nono::nono::nono:
:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:
:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:
:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:
 
Funika kombe mwanaharamu apite!!!! Anayebisha asubiri uchaguzi wa chama aone Mafisadi na mawakala wao watakavyo peta kwenye Halmashauri Kuu na kamati kuu yao!
Sitta na Mwakyembe wametiwa changa la Macho.

ipi nafasi nzuri kupambana na ufisadi ni uwaziri au ubunge naona kuna lengo la kifisadi kufunga midomo wapambanaji!
 
Uundwaji wa baraza la Mawaziri uliofanywa na Kikwete hivi karibuni kumedhihirisha kuwa Rais Kikwete amejitanabahisha kuwa ktk kundi la Wapiganaji dhidi ya Mafisadi kwa kwaacha nje ya Baraza lake wale watuhumiwa wakubwa wa ufisadi na badala yake akawajumuisha wapiganaji kama Samuel Sitta na Dr H.Mwakyembe.

Hivi kweli Kikwete ana ubavu wa kumtosa moja kwa moja rafiki yake wa kweli ambaye hawakukutana barabarani? Hivi ana msimamo thabiti wa kukataa matakwa ya Rostam kwenye Serikali yake? Ngoja tusubiri tuone kama hatafanya mabadiliko muda si muda ili kuwaingiza marafiki zake Mafisadi ambao kwa sasa wameachwa.

Kitendo cha kutowagusa Mahanga Makongoro na Sofia Simba ni ishara ya kulinda connection au ni matokeo ya bahati tu? Hivi Makongoro atakaa amwangalie SIx usoni wakikutana kwenye baraza?

Naibu Waziri haingii kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri, hii iko kwenye katiba
 
Back
Top Bottom