Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,398
- 39,547
Ilikuwa Zitto afungiwe vikao viwili vya Bunge na hiyo ingemleta hadi kikao cha kwanza cha mwakani. Pamoja na hayo ufafanuzi uliotelewa na Spika mara baada ya kufungiwa ilitajwa kuwa Zitto kafungungiwa kushiriki vikao vya Bunge na Kamati. Unless niwe nimekosea, leo tunaambiwa kufungukiwa kwake kunakoma in three weeks.. what happened? ja JK inawezekana ameamua kupunguza makala ya hasira za wananchi kwa kumrudisha mwakilishi wao Bungeni kabla ya muda wa adhabu kuisha?