Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,633
Magufuli anafanya kazi kwa mujibu wa taratibu wala hakwenda kujilinganisha na jk acha viongozi wetu wachape kazi.
Mimi nimeona porojo na ujuha kibao kwa mtoa mada.Sioni point hapa
Nyota unaiona mwenyewe,Nyota ya kikwete itaendelea kuwaka miongoni mwa watanzania na duniani kote wacha kejeli kiongozi wa watu tunampenda sana jk pamoja na magufuli wetu.
Magufuli anafanya kazi kwa mujibu wa taratibu wala hakwenda kujilinganisha na jk acha viongozi wetu wachape kazi.
Nyota ya kikwete itaendelea kuwaka miongoni mwa watanzania na duniani kote wacha kejeli kiongozi wa watu tunampenda sana jk pamoja na magufuli wetu.
Nyota ya kikwete itaendelea kuwaka miongoni mwa watanzania na duniani kote wacha kejeli kiongozi wa watu tunampenda sana jk pamoja na magufuli wetu.
... Labda tuseme ni mapema mno kutoa tathmini ya viongozi hawa wawili, tutakuwa hatuwatendei haki..
Uko serious kabisa!?? Hujui utendaji wa Magufuli.