Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,200
- 5,553
UKUKU kaziniBavicha hawatetei wezi mkuu tatizo watu hawafungui fikra zao kutafakari Mambo cjui kwa nn?Manji ni kweli anayo makosa mengi na hakuna anayemtetea kwa makosa hayo kushiriki kuiibia nchi.
Tatizo ni mbinu zinazotumika kupambana na wezi wa nchi kuna watu kuna upendeleo wa hali ya juu.Unakumbuka mwanzo Manji alipewa kesi ya madawa.Pili akakamatwa na Mihuri na sare za jeshi kiuhalisia Manji alikuwa ni mzabuni wa jeshi alikuwa anasambaza sare za jeshi cha kujiuliza hiyo tenda alijipa mwenyewe sio kweli tenda alipewa na viongozi wa jeshi iwaje Leo ababe mzigo peke take?,Pesa bank alisaini yy ndio zikatoka kuna vitu kama umesoma huwezi kudanganywa kiulahisi.
Yote Tisa mtu Bashite kabadili hadi plate number za gari kachukua gari binafsi kaweka plate number ya serikali je hii ni sahihi.Kama tusipopinga uonevu kwa jilani yako kesho utaonewa ww au mwanao.
Ukiamua kupambana na wahalifu basi roho ya uonevu iondoe usibague huyu ni mwanachama mzuri na huyu hatabiliki uanachama wake.Kinachooneka ni unafiki.
Sent using Iphone 7+
JPM Baki