Tena bila kificho, japo kaniangusha kwa kudai wezi wengine waachwe wajipumzikie.i hope unamuunga mkono magufuli now
Tena bila kificho, japo kaniangusha kwa kudai wezi wengine waachwe wajipumzikie.i hope unamuunga mkono magufuli now
Sasa yametimia.Fisadi papa limegonga mwamba.Heko JPM.Mzigo mzito mbebeshe Msukuma.Kikwete, uliwahi kutamka kuwa katika vita dhidi ya mafisadi huna rafiki wala ndugu, huo ulikuwa wakati sakata la Kagoda lilipopamba moto hadi kuihusisha Ikulu. Nakumbuka pesa za walipa kodi ilivyotumiwa na serikali eti katika kujaribu kufichua utata ulioigubika Kagoda hadi makachero wa Tanzania wakalazimika kusafiri hadi nchi za Ulaya na Asia kwa ajili ya kuchunguza baadhi ya kampuni zilizohusishwa na Kagoda.
Cha jabu ni kuwa hivi sasa kuna kesi kortini imefunguliwa dhidi ya Kagoda na mtu anayedai kuwa ndiye alieidhamini Kagoda kuchota fedha Benki Kuu. Si hilo tu mtu huyo anaenda mbali na kudai kuwa hata wakati utata wa Kagoda unatuumiza vichwa, mtu huyo huyo kwa mara nyingine aliweza kuikopesha Kagoda kiasi kikubwa cha fedha. Huyo mtu naambiwa si mwingine bali ni mshikaji wako Yusufu Manji.
Wananchi wengi wanajua kuwa hadi leo serikali inadai haiwajui wamiliki wa Kagoda na hivyo imeshindwa kuichukulia hatua zozote. Swali langu kwako ni je, mathalan mshiriki wa Kagoda sasa kajitokeza wazi bila kificho, serikali yako inasubiri nini kumkamata mara moja ili aweze kuhojiwa zaidi. Kama serikali itakaa kimya bila kuchukua hatua yoyote dhidi ya Manji, basi tutaamini zile tetesi kuwa Kagoda ndiyo CCM.
Kuchaguliwa kwa Kikwete kulileta faraja kubwa kwa mafisadi !
Mh ayaKikwete ni sawa na mbwa asiye na meno. Tunachotakiwa kufanya watanzania ni kuing'oa ccm 2015 then tuwakamate wote tukianzia na Kikwete mwenyewe na waliomtangulia. Wanayo mashitaka mengi ya kujibu.
Alishabadili gia angani kitambomsimamo wako bado upo??
Acha matusi dadaKumamae...kanyagi gia Mr. President umewashika pabaya
Kubenea alikuwa na nondo!
BAVICHA wamepoteana, kilichobaki kutetea Barrick na Singasinga Seti.
Bavicha hawatetei wezi mkuu tatizo watu hawafungui fikra zao kutafakari Mambo cjui kwa nn?Manji ni kweli anayo makosa mengi na hakuna anayemtetea kwa makosa hayo kushiriki kuiibia nchi.BAVICHA wamepoteana, kilichobaki kutetea Barrick na Singasinga Seti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaa Chadema ni kama vichaa aiseeSafari hii Chadema wamehamia Upande wa Manji!
Hata Rais angesema wenye Mimba Waendelee na Masomo Basi wao wangekuwa upande wa wanaopinga Wajawazito kuendelea na Masomo baada ya kujifungua!