Kikwete: I can turn Tanzania into heaven if I get a billion dollars a month

Rais wetu kajitahidi kujenga hoja.. ila Revenue ya $1Bn. a month naona iko over-ambitious unless tuongeze na kupanua tax base...

Dola bilioni moja kwa mwezi unaona hela ya ajabu kwa nchi nzima yeneye rasilimali kibao? Unajua GDP ya Tanzania kwa mwaka ni kiasi gani?

Unajua hiyo dola bilioni moja ni hela ambayo Silicon Valley Bilionea wanapoteza na kurudisha on a daily basis kwenye stock market?

Nchi kubwa, watu milioni arobaini na kitu, ardhi bwerere, raslimali bwerere, a billion dollars a month is $250m a week.

Anashindwa kupata hizo? Ana nia kweli? Mpaka sasa ameweza kupata nagapi?
 
"Tanzania has received $698 million from the Millennium Challenge Corp., an independent U.S. foreign-aid agency that helps lead the fight against global poverty. That five-year grant ends next year. Mr. Kikwete is eager to get a U.S. commitment for a second phase.

Under the first phase, roads were built, villages were electrified and water was supplied to two major cities, Morogoro and the Tanzanian capital, Dar es Salaam. In the second phase, Mr. Kikwete wants to keep the focus on rural electrification and water supply"


Hizo pararagraph mbili ndio zimenistua sana. Hebu angalia kwenye red: Hela za Millenium Challenge (MCC) zilitolewa muda mrefu na ndio hizo hizo zimetumika kuleta Symbion! Hapa Marekani wanatufanya mazuzu na viongozi wetu wanaonekana kuikubali hii fedheha. Ni vijiji gani vilivyopata umeme chini ya hela za MCC? Maji Morogoro na Dar kwa hela za MCC?

Kuhusu chakula. Tatizo kubwa Tanzania ni food distribution. Kule mwanabidii kuna watu wanafanya jitahada ili kusaidia wakulima wa Mbeya wapate soko. Vyakula vinaozea ndani, wakulima hawana pa kuuza! Rais wetu anajua hilo?

Lakini niulize tena, hii ajenda ya Nutrition ni ya nani? Na kwa nini Tanzania? Ni miaka mingapi tangu kilimo kwanza kimezinduliwa? Kuna nini limefanyika zaidi ya kuleta power tillers na kuziweka Dar?

Hii article ni aibu kwa Watanzania. Mtu una gold, diamond, tanzanite, nickel, uranium, oil, gas, misitu, mito, mabonde, rasilimali watu, bahari, maziwa, mito, ardhi nzuri, vyooote hivi unaacha ndani unapanda ndege kwenda kuomba hela! Na mbaya zaidi unaacha mahindi yanaozea huko Mbeya lakini unalia njaa kwa wazungu! Unataka bugger?
 
....Hii njemba kila inapotoa kauli yake basi kauli hiyo inawatia kichefuchefu Watanzania wengi sana....Vipi ametimiza ahadi zake za maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana? ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya ilipatwa na masahibu gani? Mkinichagua nitaipitia tena mikataba ya madini ili kuhakikisha inakuwa na maslahi kwa nchi yetu iliingiwa na dosari lipi!? Mtu mzima hovyoo!!! :(
 
Our gold is already a curse, our uranium is already a curse, our agricultural land is already a curse, and Kikwete is there looking at all our resources turning into curses; can oil not become a curse! with these type of leaders,Practically no.

When you say ""We know in ... a number of countries in Africa, these resources ... have turned into a curse instead of being something useful," remember to include Tanzania

Yaani kwa kifupi hatuna rais sisi. Kwanini hii "curse" iwe kwa ajili ya nchi za Afrika tu? Norway wanategemea mafuta kwa kiasi kikubwa na ka-nchi kao kana watu kama milioni tano tu lakini ni katajiri kuliko Tanzania. Hi laana wanaoisema ni kwasababu ya uroho wao viongozi wa kuingia mikataba ya kinyonyaji. Wanajilimbikizia mali na kutengeneza mazingira ya uadui kati ya watawala na watawaliwa. Itakuwa laana kama hakutakuwa na haki katika umiliki wake. Lakini wakiamua kuwa tupate share ya kutosha kutoka kwenye hizo rasilimali hakutakuwa na hii wanayoiita laana. Rais wa namna hii alitakiwa aseme tu kuwa hawezi kuongoza awaachie wengine. Sasa hizo pesa anazozitaka anataka awe anapewa msaada kutokana na kodi za wenzanke wanaojua kuzikusanya kwa haki? Mafuta, gesi, madini na mbuga za wanyama zinaweza kuingiza hizo pesa anazozitaka na zaidi kwa mwezi mmoja.
 
Dola bilioni moja kwa mwezi unaona hela ya ajabu kwa nchi nzima yeneye rasilimali kibao? Unajua GDP ya Tanzania kwa mwaka ni kiasi gani?

Unajua hiyo dola bilioni moja ni hela ambayo Silicon Valley Bilionea wanapoteza na kurudisha on a daily basis kwenye stock market?

Nchi kubwa, watu milioni arobaini na kitu, ardhi bwerere, raslimali bwerere, a billion dollard a month is $250m a week.

Anashindwa kupata hizo? Ana nia kweli? Mpaka sasa ameweza kupata nagapi?

Mkuu huyu rais wetu anashangaza kwa kweli. Tujute kumchagua. lol!
 
....Hii njemba kila inapotoa kauli yake basi kauli hiyo inawatia kichefuchefu Watanzania wengi sana....Vipi ametimiza ahadi zake za maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana? ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya ilipatwa na masahibu gani? Mkinichagua nitaipitia tena mikataba ya madini ili kuhakikisha inakuwa na maslahi kwa nchi yetu iliingiwa na dosari lipi!? Mtu mzima hovyoo!!! :(

Hovyo kweli kweli, yaani mpaka anakasirisha. Kweli waswahili hawafai kupewa madaraka makubwa namna hii. Jamaa hajuwi cha kufanya.
 
Talking of a 'comedian in chief'.......

He is not a comedian even, he is at best an idiot! How much is lost monthly in terms of hundreds of vehicles himself and his cronies are mis-using let alone the uncollected taxes on the account of tax exemptions his incompetent "government' is granting?
 
mi nina kaswali kadogo wandugu eti kareti moja ya tanzanite ni sh ngapi na je tanzanite kiasi gani inapatikana kwa mwezi?
 
Eti jamani mbona hawajampa cheo chake cha udaktari naona wamemuita mr kikwete au huu udaktari unaishia bongo?
 
Uelewa mdogo, uvivu wa kufikiri na kufanya uchambuzi wa mambo muhimu na ya msingi unaowakabili viongozi wetu ni chanzo cha matatizo ya nchi yetu na ni aibu yetu sote!!
 
Rais wetu kajitahidi kujenga hoja.. ila Revenue ya $1Bn. a month naona iko over-ambitious unless tuongeze na kupanua tax base...

yeye halipi kodi, wabunge hawalipi kodi. Hata hivyo maendeleo huletwa na natural resources
 
Eti jamani mbona hawajampa cheo chake cha udaktari naona wamemuita mr kikwete au huu udaktari unaishia bongo?

Dhubutu yake! Huo udaktari wa kuchonga anajiita akiwa magogoni tu, huko nje kuna madaktari wa ukweli ambao hadhubutu hata kuwashika mkono achilia mbali kuongea nao!!!
 
kweli kwenye miti hakuna wajenzi...mungu ametupa ardhi kubwa yenye rutuba lakini pia viongozi wenye dira na akili kiduchu tu ...inakuwaje hela ya kuwekeza kwenye kilimo haipatikani lakini hela za kununulia mashangingi na anasa nyingine nyingi huwa zinapatikana bila shida?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mimi basi tu inaniuma sana,Laiti kama Mods wangesikia kilio changu cha kutuwekea jukwaa la kumalizia hasira, hii thread ningeenda kuijibia au kuchangia huko.Lakini kwa sababu hamna basi napita na hasira zangu moyoni.Sio kwa busara nilizo nazo ila BAN naiogopa
 
I certainly to not agree with the ideas and thinking that the problems we are facing in Tanzania is money, not at all, we can be provided with $1bill dollar a month but still be where we are even more worse, if we real do not want to accept the reality that the problem is ourselves, the problem is how we handle and plan, how do we use the little we have, how do we make decisions and future plans.

We have everthing at our hands to make the impact, but we are busy Camouflage the reality kutafuta huruma ya wazuru. It is time to face the reality and stop the daylight dreams that foreign support is going to make Tanzania out of poverty.
 
Back
Top Bottom