Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,437
- 113,445
Ndugu yetu Hutaki Unaacha, kwanza asante kwa muendelezo huu, pili naweza kukubalia yote uliyoyasema kwa sababu mengi siyajui japo baadhi niliwahi kuyasoma katika zile dossier za Mzee Mwanakijiji ambazo alizitoa kwa subscription.
Ila hili la ubunge wa Tom hoja zako si za kweli. Ukweli kuhusu ubunge wa Tom ni juhudi binafsi za baba mtu kujaribu kuestablish his legacy baada ya yeye kuondoka ili angalau angalau jina lake lisi persish jumla kwenye power corridors kama Mwinyi, Karume, Kawawa etc.
Hivyo kabla ya uchaguzi alitumia fedha nyingi kuwekeza kwenye kilimo Mbeya huku akimgroom mwanaye kwenye politics huku akisaidiwa sana na vijana wa idara!.
Kusema ukweli lobbying ya hali ya juu ilifanyika ili kijana abebwe na vikao vya juu ila kwa vile Mpesya alisha cry foul ndipo aibu ikawashika na kuamua kumtosa mtoto wa Mzee jambo ambalo lilimsononesha sana baba.
Ndipo kwa kutumia utaratibu wa scrach my back and I'll scrach yours kwa huko walikotoka, then It was time to pay off kwa Mzee kumuomba muungwana ambebe kijana wake hata kwa mbeleko tuu ili kumsetiri aibu ya kushindwa!. Ndipo akamteua!.
Si kweli uteuzi ule ulikuwa ni asante kwa kuiba siri za kambi kwa sababu its obviously Waarabu wa Pemba hujuana kwa Vilemba with reference ya siasa za Mbeya, Baba na mwana walikuwa lazima wawe kambi moja ya mwenzao Prof. lakini ili kuua so, ilimbidi baba amtume mwana kule na yeye abaki kambi ya Jk hivyo hakuna cha wizi wa siri wala nini!.
Nasisitiza ubunge wa kijana yule sio ubunge wa shukrani kwa kazi yoyote nzuri bali ni ubunge wa hisani tuu!. Ungekuwa wa shukrani ungeandamana na uteuzi wa ujumbe wa bodi kwenye bodi zozote nono nono ili kijana ajilie vinono!.
Wanasema ukishikwa, shikamana na ukibebwa, bebeka!. Kijana mpaka kabebwa habebeki aingekuwa ni shukranisi angeendelea kuning'inizwa huko huko juu alikopandishwa?. Mbona sasa ameachwa akaporomoka?!. Sio shukrani ni hisani tuu!.
Ila hili la ubunge wa Tom hoja zako si za kweli. Ukweli kuhusu ubunge wa Tom ni juhudi binafsi za baba mtu kujaribu kuestablish his legacy baada ya yeye kuondoka ili angalau angalau jina lake lisi persish jumla kwenye power corridors kama Mwinyi, Karume, Kawawa etc.
Hivyo kabla ya uchaguzi alitumia fedha nyingi kuwekeza kwenye kilimo Mbeya huku akimgroom mwanaye kwenye politics huku akisaidiwa sana na vijana wa idara!.
Kusema ukweli lobbying ya hali ya juu ilifanyika ili kijana abebwe na vikao vya juu ila kwa vile Mpesya alisha cry foul ndipo aibu ikawashika na kuamua kumtosa mtoto wa Mzee jambo ambalo lilimsononesha sana baba.
Ndipo kwa kutumia utaratibu wa scrach my back and I'll scrach yours kwa huko walikotoka, then It was time to pay off kwa Mzee kumuomba muungwana ambebe kijana wake hata kwa mbeleko tuu ili kumsetiri aibu ya kushindwa!. Ndipo akamteua!.
Si kweli uteuzi ule ulikuwa ni asante kwa kuiba siri za kambi kwa sababu its obviously Waarabu wa Pemba hujuana kwa Vilemba with reference ya siasa za Mbeya, Baba na mwana walikuwa lazima wawe kambi moja ya mwenzao Prof. lakini ili kuua so, ilimbidi baba amtume mwana kule na yeye abaki kambi ya Jk hivyo hakuna cha wizi wa siri wala nini!.
Nasisitiza ubunge wa kijana yule sio ubunge wa shukrani kwa kazi yoyote nzuri bali ni ubunge wa hisani tuu!. Ungekuwa wa shukrani ungeandamana na uteuzi wa ujumbe wa bodi kwenye bodi zozote nono nono ili kijana ajilie vinono!.
Wanasema ukishikwa, shikamana na ukibebwa, bebeka!. Kijana mpaka kabebwa habebeki aingekuwa ni shukranisi angeendelea kuning'inizwa huko huko juu alikopandishwa?. Mbona sasa ameachwa akaporomoka?!. Sio shukrani ni hisani tuu!.