Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Leo Rais Jakaya Kikwete ameonekana mwenye furaha zaidi na kusema wanaobeza utekelezaji wa Serikali kuwaletea Watanzania Maendeleo wana agenda zao za Siri na wana macho lakini hawataki kuona kinachoendelea! Akifungua baarabara ya Lami ya Somanga amewataka wananchi waitumie barabara hiyo kwa kurahisi shughuli zao na kuinua uchumi wao. Barabara ya somanga ni mwnendelezo wa ujenzi wa barabara nchini kama ule wa babati singida ambao umeanza baada ya babati minjiku kukamilika na kufunguliwa!
My take: Nakupongeza sana Kikwete kwa kufanikisha ujenzi wa barabara zinazo endelea nchini hata wale wanao fanya maandamano imekuwa rahisi kwao kusafiri upande mmoja kwenda upande mwingine kwa barabara za lami na wakifika huko hujitoa fahamu kuwa hakuna unalofanya! Endelea na ujenzi wa barabara na mambo mengine kwa kuwaletea watanzania maendeleo!
My take: Nakupongeza sana Kikwete kwa kufanikisha ujenzi wa barabara zinazo endelea nchini hata wale wanao fanya maandamano imekuwa rahisi kwao kusafiri upande mmoja kwenda upande mwingine kwa barabara za lami na wakifika huko hujitoa fahamu kuwa hakuna unalofanya! Endelea na ujenzi wa barabara na mambo mengine kwa kuwaletea watanzania maendeleo!