mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,313
nyinyi mnawadharau.usichague cha kusoma.Asante kwa kuliona hilo
nyinyi mnawadharau.usichague cha kusoma.Asante kwa kuliona hilo
Dawa ni tume HURU ili tuone hao tunaowadharau kama watapigia CCM au Chadema yanini kubwabwaja wakati Tume ni ya Wakurugenzi wa CCMnyinyi mnadharau wananchi kuliko
Ahaa unaleta hotuba ya msibani Chato
Wewe vipi Bwana hukwenda kuzikwa Chato
Hii ni hotuba ya Kikwete Chato akiwa anamzika Magufuli
Wewe CCM jina tu, Hujui lolote lile
Wewe ni mbumbumbu
Yaani watengeneza vita vya kimakundi JK anawajulia kweli.
unachoandika ni sawa na kumwambia mtu mwenye kiu achague kunywa maji machafu au maji ya chumvi.Dawa ni tume HURU ili tuone hao tunaowadharau kama watapigia CCM au Chadema yanini kubwabwaja wakati Tume ni ya Wakurugenzi wa CCM
Labda.Kampeni zimeshaanza?
SGR , ndege Flyover hazijafa na utazitumia sana huku nafsi ikikusuta
unachoandika ni sawa na kumwambia mtu mwenye kiu achague kunywa maji machafu au maji ya chumvi.
aliwahi kuwaa kamanda nasikia bado anamaruerue ya ukamanda.Ahaa unaleta hotuba ya msibani Chato
Wewe vipi Bwana hukwenda kuzikwa Chato
Hii ni hotuba ya Kikwete Chato akiwa anamzika Magufuli
Wewe CCM jina tu, Hujui lolote lile
Wewe ni mbumbumbu
Mbona wewe hawakukua mkuu?Mchana alijifanya kujenga Daraja, usiku alimtuma Sabaya akaue watu na kupora mali za watu, akae na Madaraja yake hata Iddi amini alijenga
Mbona hakuwa adui yake ambaye pia ni mbabaishaji?Habari wadau.
Kuna video inasambaa mitandaoni ikimuonyesha Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete akimuelezea aliyekuwa Rais wa tano wa Tanzania hayati Dk. Magufuli kuwa tangu akiwa waziri alikuwa adui mkubwa wa wanafiki, wazembe na wababaishaji kazini. Kikwete amesema watu hao hawakumpenda akiwa waziri na hata alipokuwa Rais na ikizingatiwa kuwa nchi yetu inakabiliwa na wimbi kubwa la watu kuwa wazalendo mdomoni lakini kwa vitendo wanafanya mambo tofauti kabisa.
Kikwete kwenye hiyo video amefafanua kuwa wakati akiwa Rais jembe lake alikuwa waziri Dk Magufuli na alimpa kazi ya kuunganisha mikoa yote kwa barabara za lami na kweli mpaka anaondoka madarakani mwaka 2015 walikuwa wamefanikiwa kuunganisha mikoa yote isipokuwa katavi tu.
Kikwete amesema bila ubunifu na kujituma kwa Dk. Magufuli isingewezekana.
Walijua nitakufa kwa coronaMbona wewe hawakukua mkuu?
Hoja zako huwa unazijua mwenye tu.unachoandika ni sawa na kumwambia mtu mwenye kiu achague kunywa maji machafu au maji ya chumvi.
Watu wachonganyishi sana....Amefanya vizuri sana kuwaumbua wapambe nuksi!Habari wadau.
Kuna video inasambaa mitandaoni ikimuonyesha Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete akimuelezea aliyekuwa Rais wa tano wa Tanzania hayati Dk. Magufuli kuwa tangu akiwa waziri alikuwa adui mkubwa wa wanafiki, wazembe na wababaishaji kazini. Kikwete amesema watu hao hawakumpenda akiwa waziri na hata alipokuwa Rais na ikizingatiwa kuwa nchi yetu inakabiliwa na wimbi kubwa la watu kuwa wazalendo mdomoni lakini kwa vitendo wanafanya mambo tofauti kabisa.(MIGA)
Kikwete kwenye hiyo video amefafanua kuwa wakati akiwa Rais jembe lake alikuwa waziri Dk Magufuli na alimpa kazi ya kuunganisha mikoa yote kwa barabara za lami na kweli mpaka anaondoka madarakani mwaka 2015 walikuwa wamefanikiwa kuunganisha mikoa yote isipokuwa katavi tu.
Kikwete amesema bila ubunifu na kujituma kwa Dk. Magufuli isingewezekana.
Huu ufisadi ambao umekuwa ukitusumbua unajua nani aliuanzisha tena akiwa waziri? Kama hujui mwingi hasa kwenye sekta ya nishati ulianzisha na Njaa kaya huyu huyu ambaye ana sifa moja tu yaani kuchekacheka.Jk ni mbabaishaji wa nini
Kwa taarifa yako, na kama hujui.Nilifurahi mno msukuma kuongoza nchi, kuna baadhi ya makabila hawakufurahia uwepo wake kama raisi. Japo kuna mazuri na mabaya amefanya ndani ya uongozi wake, lakini nitamkumbuka kwa mazuri.
Na zaidi kabila ambalo limetokea kumchukia na linajulikana, na halijawahi kutoa raisi ukanda wao, but sio wote waliokua wanamchukia, msininukuu vibaya, sio wote.
Wewe huijui CCM ila unaamini unaijuia!Ccm ipo njia panda
yaani anasapoti kubwa kutoka upinzani na asilimia ndogo ccm. kwa
maana hiyo 2025 wasipompitisha mama kuwa mgombea urais wapo asilimia ya wanaccm watakaoungana na upinzani ktk kura.
wakimpitisha mama 2025 lile kundi la jpm litajiunga na chama kingine Cha upinzani.
yaani ccm imeshagawanyika ktk makundi mawili makubwa. hii ni habari njema kwa cdm.
ni ngumu sana kuwaleta pamoja hasa ukizingatia jinsi ccm mpya inavyosambaratishwa na mama!
C&P
The real definition ya MWANASIASAYaani watengeneza vita vya kimakundi JK anawajulia kweli.