Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,632
- 26,032
Nyie makamanda kumbe sasa mmeacha kumsapoti Tundu Antipas Mughwai? Ha ha ha....yaani anasapoti kubwa kutoka upinzani na asilimia ndogo ccm...
Nyie makamanda kumbe sasa mmeacha kumsapoti Tundu Antipas Mughwai? Ha ha ha....yaani anasapoti kubwa kutoka upinzani na asilimia ndogo ccm...
kama hakumuua mbowe na lema,alikuwa akiwaua akina nani!!maana hao ndio wanaoisumbua serikali.Mchana alijifanya kujenga Daraja, usiku alimtuma Sabaya akaue watu na kupora mali za watu, akae na Madaraja yake hata Iddi amini alijenga
utafurahi mpaka tigo ikae wazi ila katiba mpya sahau.Shetani limeondoka kwanini nisifurahi,Samia atatupa Katiba Mpya trust me
mbona unasimama kama muwakilishi,unaijua dhambi yake!!!Magufuli simdai mimi binafsi ila anadaiwa Roho za Watanzania wenzangu alizozitoa na mateso ya familia zao
kwa sababu nyumbu mnamuunga mkono jkHiyo hotuba iliishia pale alipozikwa, Nini kimekufanya kuja kutuletea zilipendwa?
Na wewe umetokea wapi?kwa sababu nyumbu mnamuunga mkono jk
kuja wapi??Na wewe umetokea wapi?
Msukule wa jiwe unatapatapa kumlisha maneno mzee kikwetu haikusaidii ndugu chalamilaHabari wadau.
Kuna video inasambaa mitandaoni ikimuonyesha Rais mstaafu wa awamu ya nne, Dk. Jakaya Kikwete akimuelezea aliyekuwa Rais wa tano wa Tanzania hayati Dk. Magufuli kuwa tangu akiwa waziri alikuwa adui mkubwa wa wanafiki, wazembe na wababaishaji kazini. Kikwete amesema watu hao hawakumpenda akiwa waziri na hata alipokuwa Rais na ikizingatiwa kuwa nchi yetu inakabiliwa na wimbi kubwa la watu kuwa wazalendo mdomoni lakini kwa vitendo wanafanya mambo tofauti kabisa.
Kikwete kwenye hiyo video amefafanua kuwa wakati akiwa Rais jembe lake alikuwa waziri Dk Magufuli na alimpa kazi ya kuunganisha mikoa yote kwa barabara za lami na kweli mpaka anaondoka madarakani mwaka 2015 walikuwa wamefanikiwa kuunganisha mikoa yote isipokuwa katavi tu.
Kikwete amesema bila ubunifu na kujituma kwa Dk. Magufuli isingewezekana.
Na alitumia kodi zetu na madaraka yake kuwanunua wanafiki.Yeye mwenyewe alikuwa mnafiki!
Alikataa kukaguliwa na CAG, kwa ile 1.5Trillioni.
Sasa hapo unategemea nini?
Ishi kwa akili!
Magufuli ameua na ametesa amebagua sana Watanzania amevunja Nyumba za Watu na kiwasababishia vifo vya presha na kiharusimbona unasimama kama muwakilishi,unaijua dhambi yake!!!
mnatumia matatizo ya watu kujiimarisha kisiasa.
Katiba sio ya Tigo Katiba ni ya Wananchi.utafurahi mpaka tigo ikae wazi ila katiba mpya sahau.
wananchi sio wafuasi wa chadema pekee.Katiba sio ya Tigo Katiba ni ya Wananchi.
pkama hakumuua mbowe na lema,alikuwa akiwaua akina nani!!maana hao ndio wanaoisumbua serikali.
Kampeni zimeshaanza?Nyie makamanda kumbe sasa mmeacha kumsapoti Tundu Antipas Mughwai? Ha ha ha.
Well..twende kwenye kyra ya Maoni ili tuone ni asilimia ngapi wataiunga mkono CCM mumewafanya Wananchi kuwa Wajinga ndio muwatawalewananchi sio wafuasi wa chadema pekee.
mngekuwa serious na hilo msingewafanyia utapeli ule 2015.Well..twende kwenye kyra ya Maoni ili tuone ni asilimia ngapi wataiunga mkono CCM mumewafanya Wananchi kuwa Wajinga ndio muwatawale
Chadema tunawaamsha Wananchi wajue HAKI zao
Asante kwa kuliona hilo😎ccm inawafanya wajinga
mind you,saa hizi hatapiga siku mama.p
Kijana,huyo jinamizi wako ameua sana Sabaya aliwahi kujigamba kuwa huwa anapigiwa simu na Magufuli usiku wa manane unajua maana yake Magufuli alikuwa anahusika katika kutumia vyombo vya Dola ili kumaliza Watu