Kikwete: Hata Nyerere alishindwa ingawa tunamsifu sana

na hata mfumuko wa bei ulipotokea wakati wa mwl sababu yenye maana ilijulikana yaani vita ya kagera!
 
Inaniumiza sana inanisikitisha sana!
Unajua ndio faida ya kupenda kuhudhuria midundiko, taarabu na kujirusha! Unajua sidhani kama jamaa huwa anasoma!
Mtumishi wa Mungu, Nyerere ni jina tukufu, jina ambalo limeweka misingi ya utanzania wetu! Nyerere aliacha vishida vidogo! Kula yanga ni Hoja?

Nyerere aliacha Dar es salaam City Center ikiwa a conservation area ( twajua hilo?) yaani mji wenye historia kamili, ambao ulistahili kuingia hata kwenye orodha ya UNESCO na mchakato nasikia ulianza! Kaja jamaa hatambui sheria, nafuu hata mwinyi nasikia naye aliongeza majengo ambayo yangeifanya Dar eneo la utalii na kuchota Dola na yuro. My poorest brother has already demolished almost a half of the real dar and replacing it with vichekesho! Je Dar ni mji wa karne ya ngapi?Hii yote anaona Nyerere hajafanya kitu! Ndivyo vitu vinatufanya tujiulize kama ni mtu serious! Acheni Bwana
Mungu Atusaidie tupate mabadiliko yenye Mwanga!
 
Mwalimu aliacha watu wanavaa viatu vya matairi ya gari hahahaha sasa tunavaa nike
 
Kwa kweli hakuna mtu mwenye maono ya mbali anayeweza kumbeza mwalimu kwa aliyofanya. Mungu ampumzishe kwa amani
 
Mwalimu ataendelea kuwa mwalimu tu hata kama Kikwete anajitahidi kumchafua. Mazuri ya Mwalimu Nyerere yataendelea kuwepo hata kama CCM ya sasa hawayaoni!.

Kikwete kujifananisha na Mwl. JK Nyerere ni kumkosea adabu baba wa Taifa japo katika hotuba yake wakati anaomba kupewa ridhaa ya kuwania Urais mbele ya MKUTANO MKUU WA CCM alisema hivi; naomba kunukuu tafadhali: " NITAKUWA MWANAFUNZI MWEMA NA MFUASI MZURI WA MWALIMU KWA KUWA NINAIMANI KWAMBA FIKIRA NA BUSARA ZAKE BADO ZINAAISHI NA ZINAHITAJIKA SANA KWA TANZANIA YA SASA HASA WATANZANIA".

Je ni kweli kwa mambo anayotenda ni mwanafunzi wa kweli wa Mwalimu au ilikuwa gia ya kupatia tonge tu halafu asahau fadhila za Watanzania?.

RIP JK Nyerere!.
 
NIMEISOMA HOTUBA JK -sikubaliani kabisa kabisa na kikwete anapodai kuwa Mwalimu aliacha nchi hii si TAJIRI, naomba nimkumbushe kikwete na CCM kwamba Baba wa TAIFA aliacha Tanzania na utajiri wa kutupwa na ni baabda ya kifo chake mafisadi wakaibuka, wawekezaji wanyonyaji wakaingia na kuididimisha nchi hii kwenye umaskani ukashika kasi kwa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya. Kikwete na CCM wakumbuke kuwa Mwalimu alifanya haya wakati wake
1. Madini yote alitaka Watanzania wayachimbe ni kikwete kama waziri wa madini alishiriki uibaji wa mali yetu hiyo
2. Mali asili na utalii tunayojidai leo ni kwakuwa mwalimu hakuruhusu wizi wakati wake
3. Mwalimu aliwasomesha bure akina kikwete na mafisadi wote wanaotunyonya kwa sasa
4. Mwalimu hakuwa na mgao wa umeme -miradi ya mwalimu ya umeme ndio hiyohiyo mpaka leo serikali ya kikwete inategemea
5. Wakati wa Mwalimu hapakuwepo mafisadi
6. Wakati wa mwalimu hapakuwepo na bodi ya mikopo why bodi?
7. wakati wa Mwalimu hapakuwepo mfumuko wa bei kama huu wa sasa

JK na CCM wanatakiwa wamwombe radhi mwalimu ameshalala wamwache apumuzike

Umekuza mambo, alimaanisha matatizo tuliyonayo hayawezi kumalizwa kwa mda mrefu na ndo maana baba wa Taifa, Mwinyi na Mkapa hawakuweza kuwamalizia matatizo yoote Watanzania kwa wakati mmoja.
 
Mimi si mwanasiasa, ila kuna hili jambo la kumzihaki Mwl. Nyerere naona linazidi kuongezeka kadri siku zinavyokwenda. Ni mara ya pili JK anamdhihaki na kujaribu kujilinganisha mambo aliyofanya na yale aliofanya Mwl.
Naomba wananchi, wanasiasa, viongozi wa dini na wengine wenye mapenzi mema na nchi, muongeze dai lingine la lulaani wale wote wanojaribu kumdhihaki Baba wa Taifa. Kila taifa lina baba wake ambaye hatakiwi kuchezewa na mtu yoyote. Nionavyo kuna jitihada za maksudi zinazofanywa kuondoa sifa na mazuri aliyofanya mwalimu.
 
Kwa akili zake za kizezeta anafikiri utajiri ni hela. Hajui Nyerere aliiacha nchi ikiwa na madini, na maliasili za kutosha. Kikwete alitaka utajiri gani? Tunabahati mbaya ya kuwa na rais mwenye low thinking capacity!!!!!!!!
 
Inakera sana tena sana. Na huwa hamwiti Baba wa Taifa anamwita Mzee mwl Nyerere. Huyu jamaa cjui vp
 
Mimi si mwanasiasa, ila kuna hili jambo la kumzihaki Mwl. Nyerere naona linazidi kuongezeka kadri siku zinavyokwenda. Ni mara ya pili JK anamdhihaki na kujaribu kujilinganisha mambo aliyofanya na yale aliofanya Mwl.
Naomba wananchi, wanasiasa, viongozi wa dini na wengine wenye mapenzi mema na nchi, muongeze dai lingine la lulaani wale wote wanojaribu kumdhihaki Baba wa Taifa. Kila taifa lina baba wake ambaye hatakiwi kuchezewa na mtu yoyote. Nionavyo kuna jitihada za maksudi zinazofanywa kuondoa sifa na mazuri aliyofanya mwalimu.
Chidide hivyo anavyo fanya huyu Bwn Mdogo sio vizuri. Mtu huyu bila Nyerere shule angesoma wapi??????? Yapo mambo mengi tuu aliyofanya Mwl lakini kwa uelewa mdogo wa hao watu alio waamini saana ndio wanamsaliti sasa, Watu aliokabidhiwa viwanda waviendeshe, mabenki, mashirika, mashamba mkubwa wayalime kwa kuwa ni wasomi , wakageuka wezi wakafirisi kila kitu!!! Hawa sasa wamekuwa mafisadi wanasema Nyerere aliacha nchi masikini!!!!!!!
Wamejifunza kuvaa suti wanaona Banyanyi mbaya lakini kiatu chake je????? si ni dawa!!!!!!! Hata mimi hii shule ningesoma wapi kama sio Mwl???????? Mwl kafanya mengi hayana mfano, wala hakuwa mwizi, hakuwa na accaunt ulaya, kama kuna mwenye ushahidi auweke hapa!!!!!!! Usipige teke chungu kilicho kukuza, utalaaniwa!!!!!!!
 
NIMEISOMA HOTUBA JK -sikubaliani kabisa kabisa na kikwete anapodai kuwa Mwalimu aliacha nchi hii si TAJIRI, naomba nimkumbushe kikwete na CCM kwamba Baba wa TAIFA aliacha Tanzania na utajiri wa kutupwa na ni baabda ya kifo chake mafisadi wakaibuka, wawekezaji wanyonyaji wakaingia na kuididimisha nchi hii kwenye umaskani ukashika kasi kwa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya. Kikwete na CCM wakumbuke kuwa Mwalimu alifanya haya wakati wake
1. Madini yote alitaka Watanzania wayachimbe ni kikwete kama waziri wa madini alishiriki uibaji wa mali yetu hiyo
2. Mali asili na utalii tunayojidai leo ni kwakuwa mwalimu hakuruhusu wizi wakati wake
3. Mwalimu aliwasomesha bure akina kikwete na mafisadi wote wanaotunyonya kwa sasa
4. Mwalimu hakuwa na mgao wa umeme -miradi ya mwalimu ya umeme ndio hiyohiyo mpaka leo serikali ya kikwete inategemea
5. Wakati wa Mwalimu hapakuwepo mafisadi
6. Wakati wa mwalimu hapakuwepo na bodi ya mikopo why bodi?
7. wakati wa Mwalimu hapakuwepo mfumuko wa bei kama huu wa sasa

JK na CCM wanatakiwa wamwombe radhi mwalimu ameshalala wamwache apumuzike
We mjaruo usikurupuke na mambo usiyo yajua kipindi cha nyerere watu walipata shida sana walihamishwa kutoka katika vijijisikie vyao na kupelekwa katika maporight na wengine waliwa na wanyama wakali kama simba nk. Hata wakati anashika madaraka mwinyi alikuta wanainchi wanavaa viroba Sasa huo utajiri unaousema ni upi inaonekana hat historians ya nchi hii huijui aidha wewe siyo mtanzania na kama ni mtanzannia acha ushabiki usiokuwa na maana .
 
Back
Top Bottom