Elections 2010 Kikwete hana raha na "ushindi" wake?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,550
8,643
Raisi kikwete anaonekana kabisa kwamba hana raha na ushindiwake wa kulazimisha na kuiba. Kama mnamjua kikwete anaonekana mnyonge kwasababu rohoni anajua kashidwa na amewekwa na watu kwa manufaa yao na sio yake wala ya taifa. Kikwete anajua kwamba watu hawako upande wake tena kama ilivyokuwa mwanzo wa muhula bali kabakia na mafisadi wa nchi. Tanzania kwasasa iko wakati mgumu sana kwani wananchi wanataka mabadiliko lakini viongozi wengi bado hawajatambua hilo
 
Kwa kweli hana raha!! 2005 alipata ushindi mzuri, 2010 ametia aibu ingawa mwenyewe (maybe kutokana na kutokujali kwake) akasema ni wa KISHINDO!!

Aibu ya nani?...........KIKWETEEEEEEEEEEEEEE!!
 
Kama ni mwislam safi lazima atubu vinginevyo wizi alioufanya utaendelea kumtafuna polepole hadi anaenda kaburini.
 
Raisi kikwete anaonekana kabisa kwamba hana raha na ushindiwake wa kulazimisha na kuiba. Kama mnamjua kikwete anaonekana mnyonge kwasababu rohoni anajua kashidwa na amewekwa na watu kwa manufaa yao na sio yake wala ya taifa. Kikwete anajua kwamba watu hawako upande wake tena kama ilivyokuwa mwanzo wa muhula bali kabakia na mafisadi wa nchi. Tanzania kwasasa iko wakati mgumu sana kwani wananchi wanataka mabadiliko lakini viongozi wengi bado hawajatambua hilo

Haya ni maneno yako na fikra zako wala si za JK. Nilizani kampeni zimekwisha hapa JF.
 
ila kweli kama ni mtu amnaependa dini yake na anataka asiende kwa ibilisi atubu arudishe kura alizoiba
 
Dhambi ya kumsaliti Yesu ilimtafuna yuda mpaka akajinyonga!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ndvyo itakavyokuwa kwa kikwete-dhambi ya kuisaliti nchi kwa kudhulumu haki dhambi hiyo itatafuna dhamiri yake mpaka aanguke na kufa kama yuda!!!!!!! Saa hizi anatamba lakini ninyi subirini tu, wala tukio hili haliko mbali-anguka yake ya kila leo ni dalili hizo!!!!!!!!!!!! Anategemea nguvu ya ushirikina na uchawi!!!!!!!!!!!!. Histori inathibitisha kwamba watawala dhalimu mwisho wao ni fedheha kubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Haya ni maneno yako na fikra zako wala si za JK. Nilizani kampeni zimekwisha hapa JF.
Kama hujamsoma hadi leo JK alivyosononeka na ushindi wa mezani basi tena.....................macho unayo lakini itabidi tukuambie sasa tazama....................
 
Unajua mimi siamini kama mtu anayeamini katika uchawi na ushirikina ana dini! Labda wanatumia dini katika kutuzuga au labda mniambie hiyo dini inaamini katika uchawi na ushirikina na siyo katika Mungu.Shetani anaweza pia kukupa kila kitu hata Urais ukitaka lakini njiani atakuacha tu lakini Mungu hawezi kukuacha. So tegemea anguko kuu siku si nyingi maana Mungu anaenda kijidhirisha na wananchi wa nchi hii tutakuwa mashuhuda wa ukuu wa Mungu.
 
Ruta umemjibu vyema ndugu yetu Mgonjwa Ukimwi-anatetea ukuta unaokaribia kuanguka kwa mara ya mwisho-zile anguka za kwanza ni mvua za kwanza tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwani lazima awe raisi?? mbona shughuli za kufanya zipo nyingi tuuu??? Ican imagine kuongoza group la watu wasiokutaka???? Ngoja watu waanze kuboycott na kumpanda kichwani. Mi ningekuwa Kikwete ningeachana na uraisi manake najua wananchi HAWANITAKI na kama kuiba keshaiba saana anang'ang'ania nini???
 
Dhambi ya kumsaliti Yesu ilimtafuna yuda mpaka akajinyonga!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ndvyo itakavyokuwa kwa kikwete-dhambi ya kuisaliti nchi kwa kudhulumu haki dhambi hiyo itatafuna dhamiri yake mpaka aanguke na kufa kama yuda!!!!!!! Saa hizi anatamba lakini ninyi subirini tu, wala tukio hili haliko mbali-anguka yake ya kila leo ni dalili hizo!!!!!!!!!!!! Anategemea nguvu ya ushirikina na uchawi!!!!!!!!!!!!. Histori inathibitisha kwamba watawala dhalimu mwisho wao ni fedheha kubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Yoote maovu aliyo fanya na NEC yanamrudi... Hana amani na roho yake...

Yeye na CCM yake watawale tu, lakini ndani ya mioyo yao wanajua hatuwataki, na kwamba ni wao ndiyo wamejichagua...:A S-alert1:
 
kama anataka kuacha legacy jk hana budi afanye haya walau kupotezea uchakachuaji;

  • alete katiba mpya
  • aandae mazingira ya uundwaji wa tume huru ya uchaguzi
  • afute takukuru au afanye iwajibike kwa bunge
  • afanye ofisi ya cag iwajibike kwa bunge
 
Hawezi kuwa na raha na hata weza kuwa na raha kwasababu hata watu walio mzunguka wamemchoka japo kuwa hawawezi kumuonyesha wazi wazi.Hapa issue ni kuomba msamaha mbele za watanzania, Unapo mtazama Rais JK kwa sasa utagundua wazi ni mtu mwenye mawazo na msongo wa akili.

Nilijadiri hili na huenda kabisa JK anaongozwa na baadhi ya watu ambao kwa uwezo wao wameamua kujitolea kwa hali na mali ili mradi JK awepo madarakani. Kwa uwezo wa mtu wa kawaida kuweza kuhimiri hali halisi ya upinzani na ya kiutawala iliyopo ni vigumu. Japo alishinda kwa kura milion 5 bado ana upinzania mkubwa sana ndani na nje ya Tanzania, na hili yeye mwenyewe analitambua.
Kwa kutumia busara zake kidogo alizo nazo, ningeshauri akubali kuwaita wana mageuzi na kukaa nao meza moja na kujadiri matokeo na yaliyojiri katika uchaguzi. Na kama itawezekana wakubaliane katika kubadirisha katiba ya nchi.
HILO PEKEE LITAWEZA MRUDISHIA FURAHA MOYONI.
 
2005 ilikuwa hivi...Nyerere mpya,Mkombozi amepatika,Chaguo la Mungu,Tumaini jipya na misemo mingi tu na mwisho wa siku ushindi wa kishindooo wa 81%. 2010 uli hivi EPA,KAGODA,BUZWAGI,KIWIRA,MERERETA,MPASUKO KURA ZA MAONI,KUWABEBA MAFISADI,AHADI KEMKEM,KAMPENI MAJI TAKA mwisho wa siku ushindi wa 61% tena usiohali.RAHA ITOKE WAPI NAE BINADAMU DHAMIRA INAMSUTA NA ANAJUA IPO SIKU SIRI ITAFICHUKA.
 
Dhambi ya kumsaliti Yesu ilimtafuna yuda mpaka akajinyonga!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ndvyo itakavyokuwa kwa kikwete-dhambi ya kuisaliti nchi kwa kudhulumu haki dhambi hiyo itatafuna dhamiri yake mpaka aanguke na kufa kama yuda!!!!!!! Saa hizi anatamba lakini ninyi subirini tu, wala tukio hili haliko mbali-anguka yake ya kila leo ni dalili hizo!!!!!!!!!!!! Anategemea nguvu ya ushirikina na uchawi!!!!!!!!!!!!. Histori inathibitisha kwamba watawala dhalimu mwisho wao ni fedheha kubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mungu hayuko hivyo unavyofikili wewe< MUNGU hana visasi hata kidogo, sina hakika kama JK ana dhambi, na kama anazo, akitubu tu, hata hapo baadaye, yaani baada ya URAIS Mbinguni anaenda, mtabaki na lenu tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom