Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Rais J K Kikwete hakua chaguo la Watanzania au kipenzi cha Watanzania wakati wa kuchaguliwa kwake 2005 bali alikua chaguo la MAFISADI Kama angelikua Kipenzi au Mwenyesifa na mvuto wa kuongoza kusingelikua na umuhimu wa kutumia mamilioni yapesa kumweka madarakani cha kusikitisha nipesa ile ile ya walalahoi iliyotumika kutununulia kiongozi dhaifu.
Kinachouma zaidi nikwamba gharama ya manunuzi ya huyu kiongozi wetu gharama zake zinaendelea kuongezeka maradufu kila siku.Kikwete ni chaguo la mafisadi na watafanya kila wawezalo kuhakikisha anabaki madarakani kwa gharama yoyote mapaka mwisho wa kipindi chake wakati wanatutafutia kiongozi mwingine. Nini vigezo vya mafisadia katika kutuchagulia kiongozi?
1.Awe dhaifu na upeo mdogo wa kuona mbali(Mpiga soga ,mcheshi,msanii n.k)
2.Mtu ambae wanaweza kum- control kwa asilimia 99% 3.Mtu ambae kalambishwa ufisadi bila ya yeye kujua na kutumiwa na mafisadi kama rungu na kinga kwao ili asiweze kuwageuka.Haya nayaandika nikichukulia mfano wa nchi ninayoishi Russia.
Kulikua na Rais Boltsi Yelsen baada ya kuasabaratiki Jamuhuri ya kisoviet baadae kibhati akafanikiwa kuwa Rais wa Russia akiwa na mapungufu kadhaa ulevi,udhaifu na ueleo Mafisadi walitumia nafasi hiyo kutaifisha rasilimali ya nchi na kujichukulia kila walichoweza na wao ndio waliokua wakiamua kila jambo yeye kazi yake ilikua kuidhinisha walioamua.Katika kipindi cha awamu ya pili ya uchaguzi mbali na kua alikua mdhaifu kiafya umaarufu wake kwa wananchi kuwa chini ya asilimia 9%Mafisadi walitumia kila njia kuhakikisha anarudi madarakani mabilioni ya pesa yalitumika udanganyifu wa kuiba kura maboksi ya mamilioni pesa za walalahoi yalisambazwa nchi nzima akashinda ingawa hakuiongoza nchi mpaka mwisho wa kipindi chake cha pili.
Hapa mafisadi walilokua wakiliangalia ni akija kiongozi makini tutakimbilia wapi?Ni wazi kwa Tanzani Dr.Slaa au chadema kikiingia madarakani ni wazi mafisadi papa akiwemo Mkapa na ,Kikwete,Lowassa Rostam Azizi Tanzania patakua hapakaliki.
WATANZANIA TUNA KAZI KUBWA INABIDI KUA MAKINI NA HIZO FULANA,FUTARI,KHANGA ,KOFIA NA PESA NYINGI ZITATOLEWA NA CCM UKIZIKUBALI UMENUNULIWA JUMLA KWA MIAKA MITANO YATAKAYOTOKEA BAADAE USILAUM.MUNGU IBARIKI TANZANIA
Kinachouma zaidi nikwamba gharama ya manunuzi ya huyu kiongozi wetu gharama zake zinaendelea kuongezeka maradufu kila siku.Kikwete ni chaguo la mafisadi na watafanya kila wawezalo kuhakikisha anabaki madarakani kwa gharama yoyote mapaka mwisho wa kipindi chake wakati wanatutafutia kiongozi mwingine. Nini vigezo vya mafisadia katika kutuchagulia kiongozi?
1.Awe dhaifu na upeo mdogo wa kuona mbali(Mpiga soga ,mcheshi,msanii n.k)
2.Mtu ambae wanaweza kum- control kwa asilimia 99% 3.Mtu ambae kalambishwa ufisadi bila ya yeye kujua na kutumiwa na mafisadi kama rungu na kinga kwao ili asiweze kuwageuka.Haya nayaandika nikichukulia mfano wa nchi ninayoishi Russia.
Kulikua na Rais Boltsi Yelsen baada ya kuasabaratiki Jamuhuri ya kisoviet baadae kibhati akafanikiwa kuwa Rais wa Russia akiwa na mapungufu kadhaa ulevi,udhaifu na ueleo Mafisadi walitumia nafasi hiyo kutaifisha rasilimali ya nchi na kujichukulia kila walichoweza na wao ndio waliokua wakiamua kila jambo yeye kazi yake ilikua kuidhinisha walioamua.Katika kipindi cha awamu ya pili ya uchaguzi mbali na kua alikua mdhaifu kiafya umaarufu wake kwa wananchi kuwa chini ya asilimia 9%Mafisadi walitumia kila njia kuhakikisha anarudi madarakani mabilioni ya pesa yalitumika udanganyifu wa kuiba kura maboksi ya mamilioni pesa za walalahoi yalisambazwa nchi nzima akashinda ingawa hakuiongoza nchi mpaka mwisho wa kipindi chake cha pili.
Hapa mafisadi walilokua wakiliangalia ni akija kiongozi makini tutakimbilia wapi?Ni wazi kwa Tanzani Dr.Slaa au chadema kikiingia madarakani ni wazi mafisadi papa akiwemo Mkapa na ,Kikwete,Lowassa Rostam Azizi Tanzania patakua hapakaliki.
WATANZANIA TUNA KAZI KUBWA INABIDI KUA MAKINI NA HIZO FULANA,FUTARI,KHANGA ,KOFIA NA PESA NYINGI ZITATOLEWA NA CCM UKIZIKUBALI UMENUNULIWA JUMLA KWA MIAKA MITANO YATAKAYOTOKEA BAADAE USILAUM.MUNGU IBARIKI TANZANIA