Nimefuatilia kwa ukaribu kuhusu raisi kikwetwe na kwa mtazamo wangu ni raisi ambaye haishimiki na wana CCM na hata Watanzania. Kikwete atakuwa na wakati mgumu kipindi hiki kwasababu mawaziri wengine watu wanawaheshimu kuliko yeye. Hii inatokana na kikwete kushidwa kusimama kidete kwa mawaziri wa zamani wenye kashfa za ufisadi. Hivyo nasikitika Tanzania tutakuwa na raisi kwa miaka mitano ambaye haishimiki kabisa.