The funny thing is watu washachukuliwa "msekule" na mwanakijji, hivi mmeisikiliza hiyo hotuba ua mnachukua side ya mwana kijiji kibubusa tu?
The funny thing is watu washachukuliwa "msekule" na mwanakijji, hivi mmeisikiliza hiyo hotuba ua mnachukua side ya mwana kijiji kibubusa tu?
Naskia wote wagonjwa,yule official na yule wa kampeni
Mtoto wa Makamba, kwa jina Januari. Hata muda wa kumfanyia mzee research hana maana yuko busy na vijitoto 24 hours!
Kheeee heeee heeeeeAu uzoefu wake kautoa youngafrican kubishana na kina Critic na Bill Powers.....
...Makamba huyu huyuuuuuuuuuuuu wa Sisiem au Makamba yupi??Mtoto wa Makamba, kwa jina Januari. Hata muda wa kumfanyia mzee research hana maana yuko busy na vijitoto 24 hours!
Hata Mzee Rhuksa was a better orator than this President.
Jasusi said:Hata Mzee Rhuksa was a better orator than this President
Bi ametingwa na vijisafari...mwili umechoka maana na yeye amekuwa nadhani "mwekezaji"ndio jina litalomfaa kwa sasa....
Kheeee heeee heeeee
kisebu sebu na kiroho ki papo...!
Nyani,
Hivi Deus kapotelea wapi? Hata simu hajibu siku hizi.
The funny thing is watu washachukuliwa "msekule" na mwanakijji, hivi mmeisikiliza hiyo hotuba ua mnachukua side ya mwana kijiji kibubusa tu?