Mzalendo wa ukweli
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 559
- 149
Ndugu wanajamvi jana mkuu wetu wa nchi alikuwa anazindua mradi wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi.
Na katika hotuba yake nilivutiwa na kauli kutoka kwa mkuu wetu wa nchi kuwa hali ya foleni ktk jiji la Dar baada ya huu mradi kukamilika itabaki kuwa historia.
Je, kwa huo mradi peke yake inaweza kuondoa tatizo la kero ya foleni hapa dsm au kuna haja ya kuwa na projects nyingine za kusupport kupunguza hii kero?
Je, unadhani ilikuwa sahihi kwa kiongozi mkuu kutoa kauli kama hii kwa sasa?
Na vipi kama haitakuwa kama alivyosema nini kifanyike?
Na katika hotuba yake nilivutiwa na kauli kutoka kwa mkuu wetu wa nchi kuwa hali ya foleni ktk jiji la Dar baada ya huu mradi kukamilika itabaki kuwa historia.
Je, kwa huo mradi peke yake inaweza kuondoa tatizo la kero ya foleni hapa dsm au kuna haja ya kuwa na projects nyingine za kusupport kupunguza hii kero?
Je, unadhani ilikuwa sahihi kwa kiongozi mkuu kutoa kauli kama hii kwa sasa?
Na vipi kama haitakuwa kama alivyosema nini kifanyike?