Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
JK apata dina la mchana na ivory coast, rwanda na taifa stars leo
JK akimzawadia jezi ya TAifa Stars nyota wa Ivory Coast na Chelsea Didier Drogba katika dina la mchana alilowaandalia wachezaji na viongozi wa Taifa Stars, Rwanda na Ivory Coas mchana huu hoteli ya Golden Tulip jijini Dar.
JK katika picha ya pamoja na timu ya Ivory Coast
JK na Ivory Coast
JK katika picha na timu ya Taifa ya Rwanda ambayo imedhatua nchini kucheza na Ivory Coast kesho neshno
Kocha wa Taifa Stars Marcio Maximo na vijana wake
Baadhi ya wachezaji wa Rwanda
Picha na maelezo kwa hisani ya Blog ya Michuzi
JK akimzawadia jezi ya TAifa Stars nyota wa Ivory Coast na Chelsea Didier Drogba katika dina la mchana alilowaandalia wachezaji na viongozi wa Taifa Stars, Rwanda na Ivory Coas mchana huu hoteli ya Golden Tulip jijini Dar.
JK katika picha ya pamoja na timu ya Ivory Coast
JK na Ivory Coast
JK katika picha na timu ya Taifa ya Rwanda ambayo imedhatua nchini kucheza na Ivory Coast kesho neshno
Kocha wa Taifa Stars Marcio Maximo na vijana wake
Baadhi ya wachezaji wa Rwanda
Picha na maelezo kwa hisani ya Blog ya Michuzi