King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 327
Salaam wana JF,
leo kikiwete yupo Dodoma kwaajili ya sherehe za ccm pamoja na maandamano mpaka uwanja wa Jamuhuri. Mwenyekiti huyo wa chama ni mgeni rasmi
kwa kuhofia kukosa watu kwa mwamko wa kimageuzi uliopo sasa hivi CCM wamelazimika kukodi wasanii kibao wakiwemo akina Masanja wa original Komedi ili kuvutia wahudhuriaji.
Na kama kawaida malori na pick up za kutosha zinabeba watu toka pembeni mwa mjini na miji mingine waje wamsikilize mwenyekiti wa chama maana watu wa mjini wabishi.
my take,
kwa sasa CCM wamekosa sera makini na wananchi wamewachoka, wanalazimika kutumia nguvu ya ziada kuvutia wasikilizaji, ni aibu kubwa kwa kweli.
leo kikiwete yupo Dodoma kwaajili ya sherehe za ccm pamoja na maandamano mpaka uwanja wa Jamuhuri. Mwenyekiti huyo wa chama ni mgeni rasmi
kwa kuhofia kukosa watu kwa mwamko wa kimageuzi uliopo sasa hivi CCM wamelazimika kukodi wasanii kibao wakiwemo akina Masanja wa original Komedi ili kuvutia wahudhuriaji.
Na kama kawaida malori na pick up za kutosha zinabeba watu toka pembeni mwa mjini na miji mingine waje wamsikilize mwenyekiti wa chama maana watu wa mjini wabishi.
my take,
kwa sasa CCM wamekosa sera makini na wananchi wamewachoka, wanalazimika kutumia nguvu ya ziada kuvutia wasikilizaji, ni aibu kubwa kwa kweli.