Kikwete chonde chonde.....waziri wa fedha....

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,108
115,842
Nafamu Kikwete ana watu wake anaowapenda....
na nafahamu ninachojaribu kukisema hapa probably hakitamfikia....

but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde
kwa maslahi ya nchi mshaurini amchague ARNOLD KILEO kuwa waziri wa fedha na uchumi................


wale ambao hamjui cv ya arnold kileo tafadhalini muitafute

Tanzania hii hakuna mtu better na more qualified to run the economy zaidi ya ARNOLD KILEO
 
Nafamu Kikwete ana watu wake anaowapenda....
na nafahamu ninachojaribu kukisema hapa probably hakitamfikia....

but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde
kwa maslahi ya nchi mshaurini amchague ARNOLD KILEO kuwa waziri wa fedha na uchumi................


wale ambao hamjui cv ya arnold kileo tafadhalini muitafute

Tanzania hii hakuna mtu better na more qualified to run the economy zaidi ya ARNOLD KILEO

Kwani naye yumo kwenye mtandao? Kama hayupo usipoteze muda kuota
 
nadhani anaweza kufaa, kwa sababu kasimamia TBL kwa muda mrefu... anaweza kuwa na mawazo mapya
 
Nafamu Kikwete ana watu wake anaowapenda....
na nafahamu ninachojaribu kukisema hapa probably hakitamfikia....

but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde
kwa maslahi ya nchi mshaurini amchague ARNOLD KILEO kuwa waziri wa fedha na uchumi................


wale ambao hamjui cv ya arnold kileo tafadhalini muitafute

Tanzania hii hakuna mtu better na more qualified to run the economy zaidi ya ARNOLD KILEO


Huyu wa TBL, MMMH! CV yake sawa, je una profile yake kutoka Usalama wa Taifa?
 
but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde
kwa maslahi ya nchi mshaurini amchague ARNOLD KILEO kuwa waziri wa fedha na uchumi................

He is too old jamani........................
 
Tanzania hii hakuna mtu better na more qualified to run the economy zaidi ya ARNOLD KILEO

That is a white lie...........................wapo wengi wenye sifa humu nchini.tatizo tutawapataje?
 
Nafamu Kikwete ana watu wake anaowapenda....
na nafahamu ninachojaribu kukisema hapa probably hakitamfikia....

but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde
kwa maslahi ya nchi mshaurini amchague ARNOLD KILEO kuwa waziri wa fedha na uchumi................


wale ambao hamjui cv ya arnold kileo tafadhalini muitafute

Tanzania hii hakuna mtu better na more qualified to run the economy zaidi ya ARNOLD KILEO

1. Aiseee, yaani wewe umewachunguza watanzania wote ukaona huyu mzee ndo anafaa zaidi wa watanzania wote??? Haya sasa ni masihara, ningependa kujua namna ulivyofanya upembuzi wako maana mimi nae ni mtalaamu sana wa mambo ya fedha na naweza kuwa waziri zaidi ya huyo mzee

2. Nani kakwambia JK anatafuta watu makini katika nafasi makini?? ukimweka mtu makini wizara ya fedha mzee mzima atapata taabu sana kuidhinishiwa fedha za kwenda kuzurula ulaya. Watu makini hawana nafasi kwenye serikali ya JK. Walio makini anatafuta namna ya kuwaondoa (eg Mzee 6)
 
Kama ana uwezo mshauri ampe shirika kama TTCL au ATCL, uwaziri hapana kwani si mbunge. By the way ukiacha kufanya TBL yeye kama Kileo ni mradi gani amewahi kuanzisha na ukaonyesha mafanikio kama alivyo Mengi?
 
1. Aiseee, yaani wewe umewachunguza watanzania wote ukaona huyu mzee ndo anafaa zaidi wa watanzania wote??? Haya sasa ni masihara, ningependa kujua namna ulivyofanya upembuzi wako maana mimi nae ni mtalaamu sana wa mambo ya fedha na naweza kuwa waziri zaidi ya huyo mzee

2. Nani kakwambia jk anatafuta watu makini katika nafasi makini?? Ukimweka mtu makini wizara ya fedha mzee mzima atapata taabu sana kuidhinishiwa fedha za kwenda kuzurula ulaya. Watu makini hawana nafasi kwenye serikali ya jk. Walio makini anatafuta namna ya kuwaondoa (eg mzee 6)
jamaa alikuwa anatoa maoni yake kwa maendeleo ya nchi lakini kama hayatasikilizwa nadhani pia akubali tuu! Hata mimi ningependa jk akubali kumuweka mtu makini hapo!
 
Nafamu Kikwete ana watu wake anaowapenda....
na nafahamu ninachojaribu kukisema hapa probably hakitamfikia....

but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde
kwa maslahi ya nchi mshaurini amchague ARNOLD KILEO kuwa waziri wa fedha na uchumi................


wale ambao hamjui cv ya arnold kileo tafadhalini muitafute

Tanzania hii hakuna mtu better na more qualified to run the economy zaidi ya ARNOLD KILEO

Vumbi tupu!
 
Nafamu Kikwete ana watu wake anaowapenda....
na nafahamu ninachojaribu kukisema hapa probably hakitamfikia....

but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde
kwa maslahi ya nchi mshaurini amchague ARNOLD KILEO kuwa waziri wa fedha na uchumi................
wale ambao hamjui cv ya arnold kileo tafadhalini muitafute

Tanzania hii hakuna mtu better na more qualified to run the economy zaidi ya ARNOLD KILEO


huo ni mtazamo wako lakini kumbuka kwamba CV sio kigezo pekee cha mafanikio au uzalendo wapo maprofesa kama Mhalu wako akina chenge wote ni wasomi lakini jamii haiwaoni hivyo. Kumbuka pia kwamba kama kileo alifanikiwa sana alipokuwa TBL na kwingineko sio lazima akafanikiwa katika siasa, kwa mfano Charles Keenja alifanikiwa sana wakati wa tume ya jiji la Dar es salaam lakini hakufanikiwa zaidi alipokuwa waziri.

Mimi nashauri tusimchagulie Rais viongozi lakini tuna wajibu wa kuhoji uteuzi kulingana na ukweli tunaoufahamu juu ya wateule hao ingawa pia tuepuke majungu.Timu za mpira za Ulaya zinapoajiri kocha hazimpangii wachezaji. Timu ya ushindi inapangwa na kocha mwenyewe ni hivyo hivyo kwa MaRais wao.

Mcahngo wangu katika hili hauna maana kwamba zitambui uwezo wa mzee kileo hapana.
 
Kwanini mnaumiza vichwa vyenu wakati kila kitu kiko dhahiri! The writting is already on the wall. Piga ua Waziri wa fedha is either Mustapha Mkuro au Mama Zakia Meghji.

You don't need to be a rocket scientist to figure out this, unless you're not living in Bongo land. BTW nani alikwambia huku Bongo mawaziri wanachaguliwa kwa kufuata sifa, uwezo na umakini wao. You must be an optuse person living in different world.
 
nadhani anaweza kufaa, kwa sababu kasimamia TBL kwa muda mrefu... anaweza kuwa na mawazo mapya

Being competent in the Business world doesn't gurantee kuwa ni competent kwenye political, national policy world. Though admire the old chap I am sure JK hawezi hata kufikiri kutaka ushauri kwa huyu mzee kwa sababu, huyu mzee ni wale antimafisadi, friends of Cleopa David Msuya, friends of Mengi etc! Na huyu mzee hana njaa ya kumfanya amwangukia Makamba, RA, EL, Ridhiwan, Salma etc. wenye influence na utendaji wa jk.
 
Nani alikwambia JK anapokea ushauri nje ya wale watu watatu au familia yake? Ili ushauri wako usikilizwe, upitishie kwa RA aau EL
 
Nafamu Kikwete ana watu wake anaowapenda....
na nafahamu ninachojaribu kukisema hapa probably hakitamfikia....

but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde
kwa maslahi ya nchi mshaurini amchague ARNOLD KILEO kuwa waziri wa fedha na uchumi................


wale ambao hamjui cv ya arnold kileo tafadhalini muitafute

Tanzania hii hakuna mtu better na more qualified to run the economy zaidi ya ARNOLD KILEO

una undugu na kileo eehh..naona umeanza kupiga debe taratibu..nani alikwambia kileo ndo pekee anafaa?? ina maana wewe unawajua wasomi wooote bongo wa mambo ya uchumi na fedha si ndio?? acha kuwanga kweupe isee subiri angalau kagiza kaingie sawa mkuu!!
 
1. Aiseee, yaani wewe umewachunguza watanzania wote ukaona huyu mzee ndo anafaa zaidi wa watanzania wote??? Haya sasa ni masihara, ningependa kujua namna ulivyofanya upembuzi wako maana mimi nae ni mtalaamu sana wa mambo ya fedha na naweza kuwa waziri zaidi ya huyo mzee

2. Nani kakwambia jk anatafuta watu makini katika nafasi makini?? Ukimweka mtu makini wizara ya fedha mzee mzima atapata taabu sana kuidhinishiwa fedha za kwenda kuzurula ulaya. Watu makini hawana nafasi kwenye serikali ya jk. Walio makini anatafuta namna ya kuwaondoa (eg mzee 6)

nimekugongea mkuu..nime do the needful.well said
 
Back
Top Bottom