The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,182
Nafamu Kikwete ana watu wake anaowapenda....
na nafahamu ninachojaribu kukisema hapa probably hakitamfikia....
but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde
kwa maslahi ya nchi mshaurini amchague ARNOLD KILEO kuwa waziri wa fedha na uchumi................
wale ambao hamjui cv ya arnold kileo tafadhalini muitafute
Tanzania hii hakuna mtu better na more qualified to run the economy zaidi ya ARNOLD KILEO
na nafahamu ninachojaribu kukisema hapa probably hakitamfikia....
but kama kuna watu humu mnaweza mfikia Kikwete nawaombeni chonde chonde
kwa maslahi ya nchi mshaurini amchague ARNOLD KILEO kuwa waziri wa fedha na uchumi................
wale ambao hamjui cv ya arnold kileo tafadhalini muitafute
Tanzania hii hakuna mtu better na more qualified to run the economy zaidi ya ARNOLD KILEO