Magazeti,Television zmeandika an kunukuu kauli ya Rais Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa Magamba akisikitishwa na utoaji Rushwa unavyokidhiri katika chaguzi za Magamba. Anasema " Hii hali isipodhibitiwa itakitumbukiza chama shimoni"
Nauliza hivi Kikwete hajui kwamba Chama chake kimeshatumbukia shimoni na kinasubiri kufukiwa 2015? Au ndio ile ile kasi mpya an ari mpya!
Nauliza hivi Kikwete hajui kwamba Chama chake kimeshatumbukia shimoni na kinasubiri kufukiwa 2015? Au ndio ile ile kasi mpya an ari mpya!