Sasa kila kitu tunafanya kwa kutumia misaada! Hivi hatuwezi kujitegemea kwa kutumia resources zetu kweli? Ndugu Mkapa alifanya mabaya fulani lakini alijaribu kutaka kuitemeza nchi, na mifano mizuri ni hii miradi ya maji ya ziwa victoria na mabarabara kadhaa ambayo yalijengwa kwa kutumia fedha zetu wenyewe. Lakini huyu the comedy wetu sidhani kama kuna mradi wowote aliouanza yeye ambao umetumia fedha yetu wenyewe.