superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
kanda ya kaskazini bodi ya mikopo ilitoa tenda kwa kampuni moja ya udalali in ayomilikiwa na aliyekuwa kamanda wa ufisadi kwenye bunge lililopita , Aloyce Kimaro ambao waliniletea barua ofisini kwangu lakini haikuwa na mantiki kwani ilinitaka kuorodhesha majina ya wafanyakazi waliokop:roll:eshwa na bodi ya mikopo ili waweze kuwadai
ilishindikana kwa kuwa wakati wa kuajiri mfanyakazi hakuna kipengele kinachohoji chuo kikuu ulikopeshwa na bodi hivyo kwa kweli kila niliyemuonyesha barua aliishia kucheka na kudai alisomeshwa na wazazi wake
hivyo sijui kwa makampuni mengine kama walifanikiwa lakini kwa inavyoelekea kufanikiwa kwa style hiyo si rahisi
ilishindikana kwa kuwa wakati wa kuajiri mfanyakazi hakuna kipengele kinachohoji chuo kikuu ulikopeshwa na bodi hivyo kwa kweli kila niliyemuonyesha barua aliishia kucheka na kudai alisomeshwa na wazazi wake
hivyo sijui kwa makampuni mengine kama walifanikiwa lakini kwa inavyoelekea kufanikiwa kwa style hiyo si rahisi