popiexo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 742
- 182
Taarifa ya habari ya jana tbc, JK akiongea alipotembelea wizara ya uchukuzi na kuzungumzia utendaji mbovu wa wa TAZARA, amesikika akilaumu jinsi menejiment zinavyochaguliwa alisema "badala ya kuchagua mameneja wazuri tunachagua makada"
Nadhani hili swala JK hajalifahamu jana lipo toka muda mrefu napengine amehusika kikamilifu katika kuwateua mameneja na wakurugenzi ambao ni makada. Labda sasa awe amefumbuka macho na kuamua kubadilika.
Nadhani hili swala JK hajalifahamu jana lipo toka muda mrefu napengine amehusika kikamilifu katika kuwateua mameneja na wakurugenzi ambao ni makada. Labda sasa awe amefumbuka macho na kuamua kubadilika.