Kikwete azungumza na wazee wa Dar; ajiandaa kwa mgongano na TUCTA

Naona aibu kwa yote yaliyosemwa leo. Conclusion hii si nzuri na wala haifai kutolewa na Raisi wa Nchi. Yani TUCTA have been demonized, si sawa kabisa. Mshahara huu unaweza kabisa kupatikana
 
JK amesema atawashangaa sana watumishi wa serikali watakaogoma. Amesema kama wafanyakazi hawampigia kura kwa kuzikosa hizi 315,000 then wasimpigie kura, amebainisha yuko tayari kuzikosa kura hizo lakini Watanzania wengine wote watampa kura zake. Wajameni hii sasa ni pre-mature campaign, tena leo ;' anaongea with serious tone very convincing hata mimi naanza kumuona. JK is worth come back!.

asitubabaishe na maneno yake hayo

aende zake huko hana maana wala jipya
anawahi kumtawaza mtoto wakati hajamaliza shughuli yake kwenye poti!!!
wa wapi huyu baba yaani basi tu hivi kwanza hajui kuwa sisi wafanya kazi ndio wengi nchi hii? na utuna ushawishi mkubwa?
 
Siyo mipasho tu na vitisho juu. %$$^&^%^^%%$^%$^ Hii nchi haina uongozi kama Rais anaweza kuongea kutoa maneno ya ********** namna hii ni hatari kabisa. hamna kitu hapana.
 
Siwezi kukubalina na wafanyakazi huku wananchi wakikosa ruzuku kisa eti watanipa kura(makofi)

serikali ni ya wananchi wote,siyo sisi tulioko serikalini kugawana tu
 
Kuna aina mbili za migomo, wa wazi ambao ndio huo unaofuata sheria na mwingine ambao ni mbaya kuliko wa wazi - ule ambao watumishi wamejikatia zao tamaa na wana go-slow. acha bwana, nchi ina hali mbaya hii, sasa tu hawawajibiki, je mkiacha kuwapa hiyo hela? Shame!
 
Kwa kweli kama ndo hutuba yenyewe hiyo hapo amedhihiisha upungufu wa busara na hafai kuwa rais, ni wakati mwafaka kwa wafanyakazi hasa walimu wanaosimamia uchaguzi kufanya juu chini wamfunze adabu ili asirudie tena. kwa kweli kazi ipo.
 
nakumbuka maneno ya baba yangu mzazi mwaka 2005 siku moja kabla ya kupiga kura alisema hivi

'' we are going to have the worst president ever in this country''
na hakumpigia jk baba alishajua kuwa huyu jamaa yuko kundi la commoners hana maana na leo ndo naona sasa

m
ongezeko la mshahara linawezekana kabisa basi tu hatuna mtu hapo ikulu
 
anasema hata mgome miaka nane kima cha chini hicho hakipatikani. In other words tutabakia kuwa masikini na hela haitapikana kamwe. Vision ya kukua uchumi haipo. Kasema kama hamtaki acheni kazi, ondokeni. When I hear this, I shudder!
 
Kuhusu hela walizokalia mafisadi anasemaje?...
Asikwepe hoja..
Kwanini awaite wazee, ambao hawawezi kuhiji chochote?..kwanini asiitishe pressconference na kuruhusu maswali?..
Jibu ni..TOO MUCH USWAHILI!
Wazee wenyewe karibu wote ni CCM maana wamevaa mijezi yao ya kijana. Ameanza vitisho anasema mgomo ulioitishwa na TUCTA ni batili na kinyume cha sheria. Anayeona hawezi kufanya kazi serikalini bila kulipwa kima cha chini cha 315,000 AACHE KAZI.
 
'HATAKA WAKIGOMA KWA MIAKA 8 HATUTALIPA MSHARA HUO,ANAYEONA HAWEZI KUFANYA KAZI KWA KULIPWA 315,000 AACHE KAZI'-JK
TUSIPOTEZE MUDA KUDAI AMBACHO SITAKIPATA

Mimi nazima TV
 
sasa hivi kasema asiyeridhika na mshahara anaolipwa aache kazi( vigeregere...sema usiogope sema....)
 
Ina maana hao polisi kima chao cha chini ni zaidi ya lakitatu? Au labda wao sii wafanyakazi ili wagome. Mh asidanganyike na IGP kwa kuwa wameoa nyumba moja. Anatakiwa kufahamu police nao wanahitaji maslahi bora kazini. Na kama anataka kuwatuma kuitumia bunduki yao kuchukua vya watu kama matubu basi Raia tunasubiri tuone
 
ogopa rais anavunja kiapo cheke hadharani...aliahidi kulinda na kuitetea katiba na kwa sheria mahakama pekee ndio yenye mamlaka ya kusema mgomo ni batili lakini hapa anaropoka yeye mwenyewe kuwa mgomo ni batili
 
TUCTA jamani wako wapi? Akitoka tu jamaa watoe press release yao. Tanzania ya jana si ya leo, jamani watu wanadai haki zao, maisha magumu sana, utawaonea huruma watu wa serikalini
 
hahahaha nusu ya 315,000 means 155,750/= what a shame Mr. President? halafu... mwanasiasa mzoefu hawezi kusema hataki kura za wafanyakazi! hivi anajua influence ya wafanyakazi ni kubwa kiasai gani? Jeshi, polisi, magereza, wanahabari, walimu, afya nk nk atatuweza kweli? pole JK. CCM kwishney... bora mpitishe mgombea mwingine August.
 
Naona wafanyakazi hakuna haja tena ya kugoma. Ujumbe umeshafika penyewe, na maamuzi yameshatolewa na mamlaka ya juu kabisa. TUCTA wasitishe mgomo ili wasije wakapata muitikio mdogo vijembe vikaongezeka. Nasema ujumbe umeshafika ndo maana unaona reaction ilivyo!
 
Back
Top Bottom