Hali ya kuzomewa mara kwa mara imemkuta mgombea wa CCC Ndg. Kikwete wilayani Mbulu akijinadi mwenyewe na mgombea ubunge Ndg. Philip Marmo. Kila alipojaribu kutamka CCM hoye! Watu wanamwonyeshea ishara ya vidole viwili na kwa sauti kubwa wakisema PEOPLES POWER!!!!!!!!!!!!!. KWA KWELI CCM NI MAREHEMU MBULU HADI VIJIJINI. NI CHADEMA TU. Kikwete aliingia Mbulu na chopa 3 na pia alisindikizwa na magari takriban 30, lkn yote hayo hayakufua dafu. Kumbuka kilichomkuta Mwl Nyerere miaka ya 70's hadi 80's pale Mbulu alipokuwa akimnadi Ndg. Amri Dodo kama mgombea ubunge wa chama cha TANU. ALISHINDWA KUWAHIMIZA WATU KUMCHAGUA AMRI DODO. WATU WALIMCHAGUA NDG. HERMAN SARWATT AMBAYE ALIKUWA MGOMBEA BINAFSI. KUMBUKA MOJA YA HOTUBA YA NYERERE AMBAPO ALIKIRI WAZI WAZI KUWA SIASA YA KWELI IPO MBULU. CHADEMA INAKUBALIKA KWA WATANZANIA WWENGI PAMOJA NA KUWA PICHA ZA WAGOMBEA WAKE NI CHACHE SANA. "CHEMA CHAJIUZA KIBAYA CHAJITEMBEZA". CCM INAJITEMBEZA MTAANI KAMA MALAYA ILHALI CHADEMA INAJIUZA KWA WANANCHI. MUNGU IBARIKI CHADEMA. TUNAMWOMBA MUNGU ATUPA NJIA YA KWELI TUWE WAKWELI KTK KWELI YAKE. YEYE ALIYEMWANGA NA NJIA ATUPA HEKIMA YA KUICHAGUA KILICHO CHEMA. CHAGUA WATU NA MAENDELEO. WATU WA KWELI WENYE MAENDELEO WANATOKA CHADEMA TU. KULA CCM, KURA YAKO CHADEMA
Watu walihudhuria mkutano wa JK katika jimbo la Mbulu leo 17/09/2010, walimzomea mgombea huyu baada ya kuanza kuisemea Chadema vibaya. Walianza kwa kupiga miluzi huku wakiondoka katika mkutano huo wakati JK akihutubia. Polisi walijitahitahidi kuzui watu lakini hawakufanikiwa.
Hali hiyo ni mwendelezo wa wa zomea zomea inayoikumba mikutano ya CCM katika jimbo hilo la Mbulu. Akiwa Haydom Mgombea wa ccm Philip Marmo alizomewa na kuachwa huku DC akiamuru polisi kuzuia watu waliohudhuria wasiondoke lakini ilishindikana.
Kabla ya kutua Haydom, CCM ilifanyakazi ya ziada ya kuwaomba wananchi wasimzomee hata kama hawamtaki, bora wakae kimya, Pia JK haukutumia lugha ya kejeli dhidi ya Slaa na Chadema kama alivyofanya Mbulu.
Kweli kabisa. Vipi idadi ya polisi waliomwagwa ulionaje?
Hawakutafutwa watu wa kusombwa kwa mabasi, kupewa sh 5,000 kila mmoja na kuambiwa wasizomee?
Hawakutafutwa watu wa kusombwa kwa mabasi, kupewa sh 5,000 kila mmoja na kuambiwa wasizomee?
Pamoja na kukugongea thanx lakini ngoja nikupe na hii AHSANTE SANA.Wambulu ( Wairaque)wakishakugeuzia mgongo huwa ni vigumu kuwashawishi hata kwa fedha, Walishawahi kumfundisha Mwl Nyerere maana ya democracy. Enzi hizo Nyerere alimpenda chief Dodoo awe mgombea wa ubunge wa jimbo la Mbulu, akamkampeni vizuri, wakamwitikia ndio lakini alipoondoka, Wairaque hao wakamchagua chief Sarwat kuwa mbunge wao. Nyerere akasema hii ni demokrasia ya kweli. Ikabidhi akubaliane na maamuzi ya wairaque hao.
Hivyo pesa siyo kitu. Wazee wanafanya sala zao za asili kumwombea Dr Slaa.
CCM===Chukua Chako Mapema!!!!!!! (Je hakuna kiongozi a.k.a kila mtu anajichukulia chake mapema na kuondoka bila kujali nchi?????????)Ha ha ha ha mkuu. Kula CCM kura CHADEMA!!