............kilichowaudhi wasikilizaji ambao kwa kweli walikuwa wengi ni kusema kuwa yeye JK na sisim ni original na Dr Slaa ni photocopy. kwa vile kuguna hakukusikika vizuri walianza miluzi na mkuu akashuka na kuondoka. Pamoja na hayo watu walikuwa wakiimba peoples power kwa shangwe na polisi walitupa bomu la machozi ili kuwatawanya jumla watu kwani giza lilianza. hii itamnyima zaidi kura kwani waliopatwa na bomu hili ni miongoni mwa wale ambao wangempa kura.
kwa ujumla baada ya tukio hilo na watu kuosha nyuso zao walijipongeza sana kwa kufikisha ujumbe.
Sasa watu wanamsubiri katika miji midogo ya Dongobesh na Haydom maeneo wanayomchukia sana Marmo. Mahudhurio yanatabiriwa kuwa siyo mabaya na wala siyo kwa kutoa kitu. Tunaaminini hatarudia kosa la Mbulu tena
kwa ujumla baada ya tukio hilo na watu kuosha nyuso zao walijipongeza sana kwa kufikisha ujumbe.
Sasa watu wanamsubiri katika miji midogo ya Dongobesh na Haydom maeneo wanayomchukia sana Marmo. Mahudhurio yanatabiriwa kuwa siyo mabaya na wala siyo kwa kutoa kitu. Tunaaminini hatarudia kosa la Mbulu tena