Kikwete azindua mradi wa Umeme uliojengwa na Kanisa Katoliki

ha haa haaa

jamaa anakula genetic modified foods halafu anajisifia

acha wivu mbaya wa maendeleo , pressure itakumaliza ushindwe kula hao kuku wa madawa

silly
Hee si ndio tunawauzia huko au umesahau> generators zinatoka wapi - Kilimo kwanza! madawa Mchina, shule nasikia mnajifunza kiingereza sio taaluma ndio maana hata kuetngeneza baiskeli hamuweziu - mmebakiza kitu gani?.. Ngoja nitazame Football game, sijui kama unajua ni mchezo gani? - google haraka haraka uje ujibu!
Aaaah kwaherini mnatabakia na Udini wenu hadi hiyo siku ya siku..
 
Umeshindwa hoja hebu tupishe ulikuja na kauli za kebehi na dharau nenda kalale upunguze stress na nakushauri kasome vizuri ili uelimike kuna tofauti baina ya aliyesoma na kuelimika. Wewe hujaelimika sijui kuhusu kusoma but kuelimika I am sure hujaelimika.

Mwenye stress ni wewe unayelalamika na si mimi...
ndo maana sikuona sababu ya kuficha jina langu halisi
kama wewe usiyejiamini unayetumia jina la bandia...
Sina tu sababu ya kujibishana na wewe kwa kuwa
unatumia muda wako kulalamika tu bila kutoa hoja
ya nini kifanyike...

Labda angesema Mkandara ningemwelewa kwa kuwa
pamoja na kulalamika at least hoja zake zinaeleweka...
 
Maana yake serikali haiongozwi kwa kutumia imani ya dini yoyote ila inatambua kuwa wananchi wake
wana dini zao na wako huru kuabudu. Sasa unapoongelea suala la viongozi wa serikali kuvunja katiba
hilo ni suala jingine ambalo unatakiwa uliweke wazi ili lijadiliwe na wote bila ushabiki wala udini... lakini
kulalamika bado hakusaidii...
Sasa kama hiyo ndio tafsiri yako kwa nini kanisa linapewa jukumu lake la kiimani ktk kutoa huduma zake ili hali katiba imekataza..au unafikiri kutokuwa na dini ni kufundisha biblia.
 
siku zote kanis katoliki wana mfumo wao wa hali ya juu sana...wao hutafuta mapori, wanaomba ardhi wanapewa na kuana kujena miradi yao.....hiyo bil 6.8 ni pesa ya kanisa itokanayo na michango ya waumini na pia wameomba wafadhili ili basi kufuki maleng kwa mda mwafaka..wamepata wafadhili....sisemi kanisa katolki liwe serikali...kikubwa hapa ni fursa ...hata wailsalmu wana fursa wanweza kufanya haya wafanyayo wenza lakini wao wakitafuta wafadhili wanatafuta wafadhiliwa kuwaletea halua na tende....halau wenzao wakifanya kweli na kuleta maendelo wo wanafunga maspika na kusema huu ni mfumo kristo, wanalilia mahakama nk....kikubwa ni kwamba wajifunze mbinu ili na wao wafanikiwe lakini kila siku wakililia mfumo krisyt haiwasaidii kabisa.....

Je mko tayari kuja kufanyiwa auditing?
 
Ndio makosa yanayofanywa kiutawala sasa iwe mfumokristu ama nini lakini swala la UMEME kuendeshwa na jumuiya za kiimani huoni kama serikali ina dini?.. mimi naomba mtu aje hapa anambie hasa maana ya kusema serikali haina dini ikiwa leo Umeme ambao serikali ina wizara yake wanashirikiana na kanisa kufungua nguvu hizo, tena akiwaagiza wananchi walipe bill za umeme huo mapema.
Nipeni maana ya neno hili -Serikali haina dini - MAANA TU, halafu tuendelee..
Mkuu huko wilaya Bukombe mkini hawana umeme wa Tanesco lakini wenye uwezo wamenunua majenereta yao na wanazalisha umeme na wanauuza kwa watu wengine kwa malipo kwa mwezi. Je nao ni wadini?
 
Mwenye stress ni wewe unayelalamika na si mimi...
ndo maana sikuona sababu ya kuficha jina langu halisi
kama wewe usiyejiamini unayetumia jina la bandia...
Sina tu sababu ya kujibishana na wewe kwa kuwa
unatumia muda wako kulalamika tu bila kutoa hoja
ya nini kifanyike...

Labda angesema Mkandara ningemwelewa kwa kuwa
pamoja na kulalamika at least hoja zake zinaeleweka...

Narudia tena huna hoja umekuja na kauli za kebehi na dharau tukakuuliza maswali huna jibu. Nenda kalale wewe ndio umeaga mie nipo. Halafu ulivyokuwa hujaelimika hujui hata kwanini watu wanatumia majina ya bandia? Nenda kalale ndugu huna hoja tupishe!!!!!!
 
Mbona unazungumza kama Topical..!
Mtu akileta Uhuni mimi mhuni zaidi.. Tunajadili mambo ya maana sana hapa na kwa faida ya wote, hii sii habari ya Mkandara bali tunatazama jumuiya ya Watanzania sio wao against sisi. Nachopinga ni mfumo wa wao vs sisi unalengo la kuwagawa wananchi ktk makundi ya imani za dini na mfano mzuri ni huu mjadala watu wanashindwa kujibu swali na hoja isipokuwa kumtazama Mkandara yuko upande gani..
 
Mtu akileta Uhuni mimi mhuni zaidi.. Tunajadili mambo ya maana sana hapa na kwa faida ya wote, hii sii habari ya Mkandara bali tunatazama jumuiya ya Watanzania sio wao against sisi. Nachopinga ni mfumo wa wao vs sisi unalengo la kuwagawa wananchi ktk makundi ya imani za dini na mfano mzuri ni huu mjadala watu wanashindwa kujibu swali na hoja isipokuwa kumtazama Mkandara yuko upande gani..
Mkandara,
Serikali kushirikiana na taasisi za kidini ndiyo ina maana serikali ina dini?
 
Aisee..! Mbona wengine tumeshakaa sana huko lakini hatujapata ushamba kama wako mkuu!!
Kwani mimi nakataa! mimi mshamba kweli - nachamba na maji, nimekulia Kibara nitaweza vipi ya mjini ingawa ndio naishi kwenye maendeleo, Umeme wa nguvu za Nuklia sijui kama umewahi kuuona - haaa! haaa!
Sasa huu ndio wivu!
 
auditing kanisani?

Umesema bilion 6.8 za utafiti zimetokana na michango ya waumini kanisani. Tunataka evidence ya hilo mko tayari kufanyiwa auditing tufahamu mmezitoa wapi hela hizo? Kama ni michango ya waumini basi tatizo hakuna ila kama hela zimetokea sehemu nyengine tutahoji. Je mko tayari kufanyiwa auditing????
 
Kwani mimi nakataa! mimi mshamba kweli - nachamba na maji, nimekulia Kibara nitaweza vipi ya mjini ingawa ndio naishi kwenye maendeleo, Umeme wa nguvu za Nuklia sijui kama umewahi kuuona - haaa! haaa!
Sasa huu ndio wivu!

soma chini kwenye bold....! hayo ni mambo ya kawaida sana ndiiyo maana nimesema huo ni ushamba...! sina wivu mie..!
quote_icon.png
By sweke34

Aisee..! Mbona wengine tumeshakaa sana huko lakini hatujapata ushamba kama wako mkuu!!
 
Mkandara,
Serikali kushirikiana na taasisi za kidini ndiyo ina maana serikali ina dini?
Utaweza vipi kushirikiana na dini moja ikawa sii Udini? Mkuu hivi leo mimi nikiwa nashirikiana na wewe - a joint Partnership. Naweza vipi kukuondoa wewe kutokuwa mhusika wa mali yetu..Je, huyo Mdondoaji anaingia vipi ktk mali tulowekeana muafaka baina ya mimi na wewe kwa madai kwamba hata wewe ukitaka unda yako - with who? maana OIC mliikataa kuwa ni ya Waislaam. Mnayo mabenki ya Kikristu waislaam walikataliwa bado hulioni tatizo ktk mfumo wa kiutawala. Why mnayaona makosa kwa Waislaam lakini hamuyaoni ya kwenu mkifanya kitu kile kile mnachokipinga upande wa pili.
 
Mkandara,
Serikali kushirikiana na taasisi za kidini ndiyo ina maana serikali ina dini?
Jibu swali langu hapo nyuma..Ushirika unaenddana na kazi za kanisa ambayo ni imani ya dini. Kwisha, na ndio maana sheria hii haizungumzii ushirika wa serikali na makampuni binafsi..Ila tunaweza kabisa kulalamikia mkataba unaokiuka katiba bila kujali ushirika wenyewe una mazao gani?
 
Utaweza vipi kushirikiana na dini moja ikawa sii Udini? Mkuu hivi leo mimi nikiwa nashirikiana na wewe - a joint Partnership. Naweza vipi kukuondoa wewe kutokuwa mhusika wa mali yetu..Je, huyo Mdondoaji anaingia vipi ktk mali tulowekeana muafaka baina ya mimi na wewe kwa madai kwamba hata wewe ukitaka unda yako - with who? maana OIC mliikataa kuwa ni ya Waislaam. Mnayo mabenki ya Kikristu waislaam walikataliwa bado hulioni tatizo ktk mfumo wa kiutawala. Why mnayaona makosa kwa Waislaam lakini hamuyaoni ya kwenu mkifanya kitu kile kile mnachokipinga upande wa pili.
Hivi hawashirikiani na BAKWATA? Yale majengo ya tanesco ya chuo cha waislam morogoro sio ushirikiano ule? wale waliokwama uwanja wa ndege kwenda mecca hawakusaidiwa na serikali? Huo siyo ushirikiano?
 
hawa ni malimbukeni tu, watu wanakwenda huko in specific missions kwa business visa na siyo refugee status
Mkuu nimeondoka tanzania toka mwaka 1984 nikaenda Sweden nikarudi, kisha Denmark nikarudi, kisha Swiss, mwaka 1987 nimetia nanga hapa. Sina Ukimbizi wa nchi yoyote ila nimetafuta maisha isikuume sana kuchambia jiwe. Huniwezi kwa hoja sasa ingilia maisha yangu bado utabakia mtupu..
 
Kama Mohamed Said vile,, oh nimesafiri sana nchi za nje..oh hivi ..oh vile...! Na wewe nawe unafuata mkumbo uleule ..! Turudi kwenye mada....!
Serikali haishirikiani na taasisi za kiislam?
Alaa sio wewe uloniita mkimbizi? mbona mimi sijakuita jina lolote lile wala kuingilia maisha yako. haki iko kwenu tu Mlotiwa maji ya ubatizo.
 
maisha yako! you must be mad, sifuatilii maisha ya wakimbizi wasio na origin au motherland, hivi wewe unataka kujinadi kimaisha humu jf, kweli wewe ni ndondocha
sasa unanisoma ya nini wewe. Hivi kipi hasa kinakuuma kiasi hiki ameshindwa mjadala changanya taratibu tafuta blanketi.. maneno mengi hayana maana kunitafuta Mkanadara, huniwezi.. mchambia jiwe wee
 
Back
Top Bottom