Kikwete azindua mradi wa Umeme uliojengwa na Kanisa Katoliki

Ndio makosa yanayofanywa kiutawala sasa iwe mfumokristu ama nini lakini swala la UMEME kuendeshwa na jumuiya za kiimani huoni kama serikali ina dini?.. mimi naomba mtu aje hapa anambie hasa maana ya kusema serikali haina dini ikiwa leo Umeme ambao una serikali ina wizara yake wanashirikiana na kanisa kufungua nguvu hizo. Nipeni maana ya neno hili - MAANA TU, halafu tuendelee..
Muzee uzee unakuingia vibaya au? weekend ilikuwa ndefu kidogo, hapo ni kwamba serikali kutokana na ukwasi walishindwa kufanya huo mradi ndio kanisa likaona kwamba linaweza kuinvest sasa kama wamekosea basi tuwasome fatwaa
 
RUZUKU - Kwa kodi za wananchi lakini! halafu watalipishwa bill za umeme.

Mkandara habari za siku. Vipi 'menu' yenu mwaka huu ikoje. Makristo ndio hivyo wameingia na kwenye umeme sijui nyie mnakusudua kufanya nini?
 
Ndio makosa yanayofanywa kiutawala sasa iwe mfumokristu ama nini lakini swala la UMEME kuendeshwa na jumuiya za kiimani huoni kama serikali ina dini?.. mimi naomba mtu aje hapa anambie hasa maana ya kusema serikali haina dini ikiwa leo Umeme ambao serikali ina wizara yake wanashirikiana na kanisa kufungua nguvu hizo, tena akiwaagiza wananchi walipe bill za umeme huo mapema.
Nipeni maana ya neno hili -Serikali haina dini - MAANA TU, halafu tuendelee..

Mbona BAKWATA ina shule na hospitali ambazo zinatoa huduma kwa watu, kwani hakuna wizara ya elimu na afya. Kwenye mazuri tupongeze tu, tuache choyo.
 
Ndio makosa yanayofanywa kiutawala sasa iwe mfumokristu ama nini lakini swala la UMEME kuendeshwa na jumuiya za kiimani huoni kama serikali ina dini?.. mimi naomba mtu aje hapa anambie hasa maana ya kusema serikali haina dini ikiwa leo Umeme ambao serikali ina wizara yake wanashirikiana na kanisa kufungua nguvu hizo, tena akiwaagiza wananchi walipe bill za umeme huo mapema.
Nipeni maana ya neno hili -Serikali haina dini - MAANA TU, halafu tuendelee..
Haya mambo ya mfumo kristo yakisha waingia baadhi ya watu ni kama vile wamepata ukimwi.....hata ukisema nini mfumo kristo hauwezi kutoka ndani ya akili zao....! Haya bwana Mkandara...tusubiri serikali ifanye kila kitu.
 
Angalau naona Ali, Shukuru etc wanachukua darasa la jinsi ya kuendesha mradi kama huu, faizy fox, ms wana hariri kitabu cha historia ya wazee wa gerezani, nafikiri kitakuja na majibu ya masuala ya umeme na maendeleo ya watu wa gerezani
 
RUZUKU - Kwa kodi za wananchi lakini! halafu watalipishwa bill za umeme.

Unafanya mchezo na Trilioni 1.2 wanazogaiwa na serikali kutoka katika kodi zetu na bado zile walizokuwa wanajichotea kabla. Bado tunaendelea kuchangia kanisani kwa kulipa bili wacha tuleee bomu likilipuka siku mtajua nini tunasema maana hadi yatokee ndio mtakumbuka maneno yetu.
 
Mkandara habari za siku. Vipi 'menu' yenu mwaka huu ikoje. Makristo ndio hivyo wameingia na kwenye umeme sijui nyie mnakusudua kufanya nini?
Sio zambi kama wengine wanapewa ruzuku kufanya maendeleo na wengine kunyimwa ruzuku kuanzisha mahakama ya kadhi,kinachotafutwa ni usawa na sio ushindani,cos wote kwa pmj wanalipa kodi,kila kitu kina mwanzo wake,naamini na wao wangewezeshwa wangefanya makubwa tu kuliko mahakama ya kadhi,tunawapongeza kanisa katoliki kwa mradi wa umeme ila isiwe kichocheo cha kuzarau madai ya wengine,usawa na haki viende sambamba
 
Muzee uzee unakuingia vibaya au? weekend ilikuwa ndefu kidogo, hapo ni kwamba serikali kutokana na ukwasi walishindwa kufanya huo mradi ndio kanisa likaona kwamba linaweza kuinvest sasa kama wamekosea basi tuwasome fatwaa
Hapana mkuu kwanza tuanze na maana ya Serikali haina dini -nipe maana yake kisha tujadili mengineyo. Serikali kushindwa mbona wanatoa fedha za ruzuku na JK ameahidi fedha zaidi? kisha kuwambia wananchi walipe bill za umeme! - Hii kitu gani?
 
Hapana mkuu kwanza tuanze na maana ya Serikali haina dini -nipe maana yake kisha tujadili mengineyo. Serikali kushindwa mbona wanatoa fedha za ruzuku na JK ameahidi fedha zaidi? kisha kuwambia wananchi walipe bill za umeme! - Hii kitu gani?
haifanyi ibada kuabudu chochote
 
TZ bado tuna kazi kubwa. Assume ni kweli hiyo trilioni 1.2 ni hela ambayo limepewa kanisa toka MoU iliposainiwa 1992. Je hiyo hela inatosha kuendesha shughuli zote za miradi kuanzia hospitali, vyuo, ujenzi wa visima na sasa mradi wa umeme kwa miaka 19???
Watu wa gogovivu utawajua tu!
Kingine ni kwamba ....mburukenge kama nyinyi hamuwezi kulipua bomu hata siku moja! pambaf kabisa mkatishiane nyau hukohuko gerezani!

Hata Rebels wa NTC Libya waliitwa Mende, panya na matusi kibao ya kejeli. Badala ya kunijibu kwa hoja unaishia kuporomosha mvua ya matusi. Kukiwaka moto unaanza kulaumu kwanini watu wanapiga kelele ati hawajasoma.

Nikuulize hilo kanisa katoliki linaweza kutupatia mchakato wa wapi ilitoa hizo pesa za kujenga huo mradi? Vile vile ni tangu lini taasisi ya kidini ikajihusisha na utoaji wa huduma ya nishati? Hata ulaya husikii taasisi ya kidini kujihusisha na biashara only in Tanzania. Halafu mnadai serikali haina dini hahaha HATUDANGANYIKI!!!
 
Halafu kinachonishangaza ni hayo masevisi ya wakristu nyie waislamu mnayatumia lakinishapata mnalalamika. Kasita Seminali mmesoma, peramiho hospitali mnatibiwa, mkombozi na efata benki mnaweka hela, st Joseph college of Engineering mmejaa, KCMC mmelazwa, umeme wa Ludewa na Peramiho mnautumia.... LAKINI MNALALAMA
 
Halafu kinachonishangaza ni hayo masevisi ya wakristu nyie waislamu mnayatumia lakinishapata mnalalamika. Kasita Seminali mmesoma, peramiho hospitali mnatibiwa, mkombozi na efata benki mnaweka hela, st Joseph college of Engineering mmejaa, KCMC mmelazwa, umeme wa Ludewa na Peramiho mnautumia.... LAKINI MNALALAMA

Si hela zetu mnazotuibia ndio zinajenga hivyo vitu unategemea tutaacha kulalama acheni kuiba na kurejesha hela zetu tutaacha kulalama. Hebu tuondolee upuuzi hapa.
 
Hata Rebels wa NTC Libya waliitwa Mende, panya na matusi kibao ya kejeli. Badala ya kunijibu kwa hoja unaishia kuporomosha mvua ya matusi. Kukiwaka moto unaanza kulaumu kwanini watu wanapiga kelele ati hawajasoma.

Nikuulize hilo kanisa katoliki linaweza kutupatia mchakato wa wapi ilitoa hizo pesa za kujenga huo mradi? Vile vile ni tangu lini taasisi ya kidini ikajihusisha na utoaji wa huduma ya nishati? Hata ulaya husikii taasisi ya kidini kujihusisha na biashara only in Tanzania. Halafu mnadai serikali haina dini hahaha HATUDANGANYIKI!!!
Ndiyo maana watu wanasema mmesoma habari yote? unajua wafadhili ni nani na nani? Nimekuuliza hiyo trilioni 1.2 inatosha kuendesha miradi yote hiyo kwa miaka 19? Aisee kama kuna watu wanakera basi ni nyinyi! Hizi chokochoko kama akina mama wa uswahilini zitaisha lini ndugu zangu?
 
Hata Rebels wa NTC Libya waliitwa Mende, panya na matusi kibao ya kejeli. Badala ya kunijibu kwa hoja unaishia kuporomosha mvua ya matusi. Kukiwaka moto unaanza kulaumu kwanini watu wanapiga kelele ati hawajasoma.

Nikuulize hilo kanisa katoliki linaweza kutupatia mchakato wa wapi ilitoa hizo pesa za kujenga huo mradi? Vile vile ni tangu lini taasisi ya kidini ikajihusisha na utoaji wa huduma ya nishati? Hata ulaya husikii taasisi ya kidini kujihusisha na biashara only in Tanzania. Halafu mnadai serikali haina dini hahaha HATUDANGANYIKI!!!
Dewji kawaambia mtuige wakristo kwa maendeleo, hamuelewi... Just imagine raisi angekuwa mkristo...
 
Hapana mkuu kwanza tuanze na maana ya Serikali haina dini -nipe maana yake kisha tujadili mengineyo. Serikali kushindwa mbona wanatoa fedha za ruzuku na JK ameahidi fedha zaidi? kisha kuwambia wananchi walipe bill za umeme! - Hii kitu gani?

.... Halafu mnadai serikali haina dini hahaha HATUDANGANYIKI!!!

Kama ina dini...ni dini gani? Sidhani kama serikali ya Tanzania inaamini kuwa Yesu Kristo mwenye umungu mmoja na baba ndiye Bwana na mkombozi wetu! Kwa hiyo mnataka kutuambia hii serikali inayoongozwa na Dr JK akisaidiana na Dr Bilali na kule visiwani Dr Shein na mweziwe Maalim Seif (Dr?) nayo ni ya kikristo/kikatoliki?
 
Mbona BAKWATA ina shule na hospitali ambazo zinatoa huduma kwa watu, kwani hakuna wizara ya elimu na afya. Kwenye mazuri tupongeze tu, tuache choyo.
Hawashirikiani na serikali kutoa huduma hizo. Bakwata ni NGO inapata fursa za NGos kama NGos nyinginezo na hujasikia mtu akizungumzia NGos za wakristu..Kisha sii mwakilishi wa waislaam isipokuwa kwa tafsiri ya serikali ili kuendeleza mfumo kristu..
Mtaendelea kubisha kwa sababu mnapenda Udini lakini nawaambieni athari zake hakika tunaijenga Nigeria ya kesho kwani wao walianza vipi?
 
Hawashirikiani na serikali kutoa huduma hizo. Bakwata ni NGO inapata fursa za NGos na kisha sii mwakilishi wa waislaam isipokuwa kwa tafsiri ya serikali ili kuendeleza mfumo kristu..
Mkuu Mkandara unazungumzia serikali kuwa na dini (ya kikristo?) au serikali kuwa/kuongozwa na mfumo wa kikristo? Au yote mawili kwa pamoja?
 
GO9G8317.JPG

Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe (kushoto)
mara baada ya kutua kijiji cha Mawengi Ludewa kufungua mradi wa umeme




RAIS KIKWETE APONGEZA KANISA KWA MRADI WA UMEME ,ATAKA WANANCHI KULIPA BILI KWA WAKATI


RAIS Jakaya Kikwete amelipongeza kanisa la Romani Katoliki jimbo la Njombekwa kusaidia serikali kutatua tatizo la umeme kwa wakazi wa kijiji cha Mawengiwilaya ya Ludewa huku akiwataka wananchi kuendelea kutunza nyanzo vya maji ilikuwezesha maradi huo wa umeme wa gharana nafuu kwa wananchi kuendeleakusambazwa zaidi katika vijiji vingine vya wilaya ya Ludewa kwa msaada wa kankisa hilo.Akiwahutibia wananchi wa kata ya Mawengi mara baada ya kuzindua mradi wa umeme wa Lumama Electrical Asosoation jana ,Rais Kikwete alisema kuwa hatari ya maradi huu kufa itasababishwa na wananchi wenyewe wa kata hiyo iwapohawatatunza vyanzo vya maji na kusababisha mradi huo ambao unategemea zaidi maji ili kuendeshwa kushindwa kufanya kazi kwa uhakika .


"Waswahili wanasema hivi kitunze kidumu ,kitunze kikutunze ….sasa nawapongeza mmeanzisha chombo chenu cha kusimamia mradi Lumama …..sasa nawaombeni Lumama iendelee kusitawi ili kuhakikisha mazingirahayaharibiwi na maji yanaendelea kuwepo kwani kama vyanzo vya maji vitaharibiwabasi mradi utakufa….pamoja na kuwa maji haya ni neema ya Mungu ila Mungu ametua maarifa ya kuvitawala vyanzo hivyo ili vidumu zaidi kwa kutumia kanunizinazotawala mazingira ili yaendelee kuwepo" Hivyo aliwataka wananchi kupitia umoja wao wa Lumama kuhakikisha wanatunzavyanzo vya maji kwa kutoharibu ovyo mazingira , kuchangamkia fursa hiyo kwakuingiza umeme katika nyumba zao huku akiwakumbusha kulipa bili kwa wakati . Aidha alisema kuwa serikali kupitia shirika lake la huduma ya umeme vijijiniitaendelea kusaidia mradi huo ili uweze kusonga mbele zaidi na kuwanufaishawananchi wengi .


Rais Kikwete pia aliwahakikishia wananchi na wahisani hao kuwa serikaliimeendelea kutoa mchango wake katika mradi huo na itaendelea kuaunga mkonojitihada za kanisa hilo na wahisani wake kwa kusaidia fedha zaidi kwa awamu ya pili ili kuwezesha mradi huo kujitanua zaidi. Alisema kuwa hadi sasa makao makuu ya wilaya ya Ludewa kuna umeme wa Genereta ila bado mkakati wa serikali ni kuiunganisha wilaya hiyo ya Ludewa na umeme wa uhakika wa Gridi ya Taifa ambapo kazi hiyo kubwa mchakato wakeunaandaliwa. Pia alisema kuwa mkakati mwingine wa serikali ni kupeleka umeme wa gridi yaTaifa wenye uwezo wa KW 232 kutoka Makambako wilaya ya Njombe kuelekeaSongea mkoni Ruvuma na kuwa umeme huo utapoonza madaba ili kufikia KW 11na baada ya hapo wananchi wa vijiji vya Ndolela ,Mkongobaki, Shauri moyo ,Mavanga , Mndindi ,Lugarawa ,Mbwila,Mkiu ,Mlangali na Luana . Alisema kuwa wananchi wa kata hiyo ya Mawengi mbali ya kuwa na mradi huo wa umeme wa Lumama bado serikali ipo katika mchakato wa kupitisha umeme wa gridi ya Taifa utakaotokea katika kituo cha Madaba na kupitishwa katika maeneo yao kwenda makao makuu ya wilaya.


Rais Kikwete kabla ya kufika katika kijiji hicho alizuiwa na wananchi wa kijiji cha Mlangali kata ya Mlangali ambao waliziba barabara na kulazimika kusimama kuwasikiliza na kujibu madai yao mbali mbali likiwemo na kuchelewa kufika kwa gari la wagonjwa ambao alipata kuwaahidi wakati wa kampeni ,tatizo la soko la Mahindi kusimama na kero ya maji ambapo aliwahakikishia kuwa malalamiko hayo yatafanyiwa kazi na majibu ya madai yao atampa mbunge wao Deo Filikunjombe iliawafikishie. "kwanza niwashukuru sana wananchi wa Ludewa kwa kukichagua chama cha mapinduzi (CCM) na kumpitisha mbunge wenu Deo Filikunjombe bila kupingwa ….sasa nawahakikishieni madai yenu yatafanyiwa kazi na kuhusu soko la mahindi wiki ijaya fedha za kununua mahindi zitakuja hapa"


Kuhusu liganga na Mchuchuma Ludewa ,Rais Kikwete alisema kuwa sasa umefikawakati wa kuanza kutekeleza mradi huo kwa kampuni kutoka nchi ya China ambaokuanzia wiki ijayo wawekezaji hao watafika na kuanza kutekeleza mradi huo na ajira 8000 hivyo kuwataka vijana kuacha kuhoji juu ya maisha bora na badala yake kwenda kuomba kazi . Hata hivyo alisema barabara ya lami ya uhakika na Reli kwa ajili ya kupitisha makaa ya mawe na chuma kutoka wilaya ya Ludewa na kwenda kuyauza nchi za nje mkakati wake kuanza kuandaliwa . Alisema kuwa kila jambo lina wakati wake na kuwa sasa ni zamu ya wilaya ya Ludewa kubadilika kimaendeleo .



Awali mbunge wa jimbo hilo la Ludewa alimweleza Rais Kikwete kuwa pamoja naTaifa linasherekea miaka 50 ya Uhuru ila wakazi wa wilaya ya Ludewa wao baada ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika mwaka huu chini ya utawala wa RaisKikweye ndio wanapata uhuru wao baada ya kuwa na uhakika wa barabara ya lami na kuanza kuchimbwa kwa mradi wa Lingana na mchuchuma.

Kwa upande wake meneja wa mradi wa umeme wa Lumama Alice Michelazziakisoma taarifa ya mradi huo mbele ya Rais Kikwete alisema kuwa mradi huo ulianza toka mwaka 1998 kwa kufanyiwa utafiti uliogharimu kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 8.900. Hata hivyo alisema kuwa shughuli za mradi kwa sasa ni kujenga mtambo wa kuzalisha umeme wa kiasi cha KW 150 ambao tayari umekamilika mwaka 2010 nakuwa kanisa Katoliki jimbo la Njombe linatekeleza mradi huo kwa ufadhili wa shirika lisilo la kiserikali la ACRA.

Aliwataja wahisani wengine kuwa ni wizara ya mambo ya nje ya Italia,mkoa wa Lombaridia-Ilaty,Itervita,Foranzione Cariplo na umoja wa nchi za Ulaya

Sweke,

Nikuulize ni akina nani wametoa hizo bilioni 8.9 kufanya utafiti wa umeme? Who gave them a land? Msaada mwengine tunaambiwa umetoka Italy (ambao wamefilisika tangu 2009 which is jambo la kushangaza but it may be possible) na Umoja wa Nchi za Ulaya sasa kwanini huo mradi uwe chini ya kanisa katoliki je Kanisa siku hizi linafanya biashara????? Nyie watu mnatufanya wajinga au vp? Fumbo mfumbie mjinga mwerevu hung'amua!!!!
 
Kama ina dini...ni dini gani? Sidhani kama serikali ya Tanzania inaamini kuwa Yesu Kristo mwenye umungu mmoja na baba ndiye Bwana na mkombozi wetu! Kwa hiyo mnataka kutuambia hii serikali inayoongozwa na Dr JK akisaidiana na Dr Bilali na kule visiwani Dr Shein na mweziwe Maalim Seif (Dr?) nayo ni ya kikristo/kikatoliki?
Well kama serikali yetu inaongozwa na Dr.JK, Bilal na Shein ambao wewe unawaona waislaam basi nchi hii inaongozwa Kiislaam au sio? tunazungumzia mfumo wa kiutawala usitazame watu. Ghadaff alikuwa Dikteta na kwa Walibya waislaam wenzake haina maana maadam Ghaddaff alikuwa Muislaam akiongoza waislaam basi Udikteta ni Uislaam. Acheni ujinga!
 
Back
Top Bottom