Mwenyeminazi
Senior Member
- May 24, 2012
- 194
- 67
Hivi mheshimiwa wa jumba hili la TANZANIA anajua kwamba yale maisha bora bado hajatufikia pamoja na kufanya kazi kwa bidii? Inawezekana anadhani huku kwetu tunakula maisha kwenda mbele. Mbona ye MATABASAMU TU pamoja na shida zooote tulizonazo. AU NDIO KAWEKA SHIDA CHINI NA KUBANJUKA TUU