Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,395
- 92,721
Simjui mmiliki wa Dowans!!Na ww chaguo la nani? Ulipofanya vileee ulipogombea urais 2010
Simjui mmiliki wa Dowans!!Na ww chaguo la nani? Ulipofanya vileee ulipogombea urais 2010
Hawa kanisa ndio walioleta chokochoko za mauaji ya kimbari Rwanda, na hapa wanalianzisha.
Hawa kanisa ndio walioleta chokochoko za mauaji ya kimbari Rwanda, na hapa wanalianzisha.
Kwanza rais si ndiye mwenyekiti wa "Catholic Church Movement". Sasa wanamlalamikia nini mwenzao.
Kwa hiyo, if one is tried is it necessarily that one committed the offence? Mara ngapi watu wanakuwa tried na baadaye kuwa acquitted? Halafu katika mazingira kama waliyokuwamo mapadre, masista nk ambao ilikuwa ni lazima watoe hifadhi kwa watu wanaokimbilia kwao ilichukuliwa kuwa kwamba kama wale waliokimbilia walikuwa 'aggressors' basi hata waliowapa hifadhi walijumuishwa kwenye kosa hilo na si rahisi padre au sista ajue nani ni aggressor na nani siyo maana wote wanakuja in great numbers na unachotakiwa ni kuwapa hifadhi. Na pale padre au sista alipoogopa kutoa hifadhi kwa kudhani waliokimbilia kanisani walikuwa 'aggressors' kama ilitokea kwamba baadaye waliuawa hata huyo padre au sista aliyekaa kuwapa hifadhi alichukuwa kuwa sehemu ya tatizo (kusababisha mauaji). Kwa mazingira kama hayo, ni unfair kutoa 'blanket judgement'.
Hawa kanisa ndio walioleta chokochoko za mauaji ya kimbari Rwanda, na hapa wanalianzisha.
Waswahili walisema penye 'udhia penyeza rupia', hivyo kelele zikizidi, peleka mchango wa ujenzi wa kanisa - Kwishney
Kesho utasikia ndugu zetu wakitoa tamko la kupongeza rais kwa kusaini mkataba.
| ||
|