Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama mkwe kaula au anakplipa fadhila cause hajatoa mahari!!!!!
Hao walochagulia ndo mawaziri watarajiwa.....
Huyo Profesa Makame Mnyaa Mbarawa aligombea jimbo la Mkanyageni akashindwa na Mohamed Habib Mnyaa wa CUF, ambaye jana alijitoa kuwania Unaibu Spika kumpisha mgombea wa CCM, Job Ndugai. Duh, Mnyaa aliyekua Kamati ya Mwakyembe ya Richmond leo anamuunga mkono mgombea wa CCM?!!
hizi jenda jamani!....huyu zakia si ameshachemka nafasi nyeti kabisa pale wizara ya fedha sasa anateuliwa kwa ajili gani na kwa masilahi ya nani............?|.......................NAJIANDAA KUKIMBIA NCHI HII KM AKINA LOWASA NA ROSTAM NA HOSEA WATAENDELEA KUONGOZA NCHI KWA NIABA YA KIKWETE AMBAYE NAYE KAPITA KWA KUCHAKJACHUA NA KACHAGULIWA NA WATZ MIL.5 ILI AWAONGOZE WATZ MIL.43.....SHAME ON YOU CCM
Mama mkwe kaula au anakplipa fadhila cause hajatoa mahari!!!!!
3D
Nimekusoma unaonaje kama ukimwambia Kiwete aache upumbavu na upuuzi of all the people kweli anamteuwa Zakhia Meghji? Kati ya Wanzanzibar Mil moja? Ndo maana ninajenga imani kuna sababu zaidi. Huyo mama ni loser na failure sehemu zote alizowahi kufanya kazi, ni fisadi mzoefu hakuna asiyejua hilo. Kuniita mimi mjinga na mpumbavu ninaona ni kama sifa unaniongezea kwa kusema ukweli.
Zakia Meghji waziri wa................................... Kiwete spare our country.
Mch Masa