King kingo
JF-Expert Member
- Sep 6, 2010
- 401
- 26
Ccm na Mkapa wanadaiwa Damu ya Kombe.
Tukiendelea kuwadai huku kwenye keyboards zetu hawatailipa ng'ooooooo....
Ccm na Mkapa wanadaiwa Damu ya Kombe.
Alifanya nini mkuu?nimemkumbuka mutoto ya musuguri
here we gonazidi kusisitiza uozo wa jk tutaukumbuka milele..
EtiNimekuwa nikipitia magazeti ya leo nikakutana na habari kuwa wale askari wawili waliohukumiwa kifo na mahakama kwa kosa la kumuua Kombe wameachiwa huru baada ya huruma ya rais Kikwete kubatilisha hukumu hiyo kuwa miaka miwili,nikajiuliuza kwa nn rais asiitumie huruma hii Babu Seya na wanae?.Kuna nn kwenye hukumu hii ya babu Seya?.Watu waliwahi kusema kuwa kuna mkono wa fulani hapa,msitake niamini hivyo.Na hii ya Kombe nayo!.
Bado wanakanusha?Usiku huu ikulu imepinga hizi kauli kuwa hajawaachia huru hao watuhumiwa wala kupunguziwa adhabu
Endelea kusisitizanazidi kusisitiza uozo wa jk tutaukumbuka milele..