Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Hata hiyo hukumu yao ilikuwa kutuzuga tu wale walikuwa wamepata hifadhi tu kwani walikuwa wanatekeleza amri ya wakubwa. Yule Mmeto toka Msumbiji ana mkono katika mauji ya Gen. Kombe.
Kikwete elewa kuwa Mkapa alihusika na hao askari walikuwa wanatekeleza amri ya Mpaka na pia Mrema wa Tlp anajua kila kitu.ELEWENI ATAKAYE UA KWA UPANGA ATAUAWA KWA UPANGA.