andrewk
JF-Expert Member
- Apr 13, 2010
- 3,102
- 488
Babu Seya na Mwanae hawajahukumiwa kifo. Hao waliua na walihukumiwa kifo. Wakina babu seya hawastahili huruma hiyo hiyo?
Mimi nadhani hapo ndio angepata support kuwa toka kwa wananchi, hao wauaji kawaachia, wale na kesi za kusingiziwa kawaacha, labda kwa kuwa tuhuma za bau seya zinamuhusu