*Rais Kikwete ateua Majaji Mahakama
ya Rufaa
----
RAIS Jakaya Kikwete amewateua Jaji Salum Abdallah Legho Massati na Jaji William Steven Mandia kuwa majaji wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania.
Uteuzi wa majaji hao umeanza rasmi tangu Desemba 18,mwaka huu. Kabla ya uteuzi huu Jaji Massati alikuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Jaji Mandia alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi Dar es Salaam.Uteuzi wa majaji hao wawili umeifanya sasa Mahakama ya Rufani kuwa na majaji 16.
Source: Food For Thought
ya Rufaa
----
RAIS Jakaya Kikwete amewateua Jaji Salum Abdallah Legho Massati na Jaji William Steven Mandia kuwa majaji wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania.
Uteuzi wa majaji hao umeanza rasmi tangu Desemba 18,mwaka huu. Kabla ya uteuzi huu Jaji Massati alikuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Jaji Mandia alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi Dar es Salaam.Uteuzi wa majaji hao wawili umeifanya sasa Mahakama ya Rufani kuwa na majaji 16.
Source: Food For Thought