Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,666
- 13,147
Mimi binafsi sioni kwa nini watu wanafikiri kuongeza mikoa ndio kuleta maendeleo kivipi? Huku ni kuzidi kuongezeana umaskini kwangu mimi naona haikustahili iwe hivyo.... swala ni kuleta maendeleo kwanza kwa hii mikoa iliyopo na si kuongeza gharama. Huu ni ubinafsi wa baadhi ya viongozi wa hiyo mikoa mipya period...wenzenu wanaungana ninyi mnatengana hii nchi kweli imelewa lewa......